Kamati ya Bunge PAC yapewa semina na Wizara ya Nishati baada ya azimio la Bunge kuhusu Symbion

Kamati ya Bunge PAC yapewa semina na Wizara ya Nishati baada ya azimio la Bunge kuhusu Symbion

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Siku moja baada ya Bunge kuazimia watumishi wa Wizara ya Nishati, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Wizara ya Fedha na Mipango na TANESCO walioshiriki katika mchakato mzima wa uingiaji, utekelezaji na uvunjaji wa mkataba kati ya TANESCO na Symbion uliosababishia Serikali hasara ya Bilioni 350.

Leo jambo la kushangaza Kamati ya Bunge ya PAC iliyochunguza suala hilo la Symbion imeitwa na Wizara ya Nishati na kuwekwa sawa kwa kile kilichotajwa eti ni Semina ya elimu kuhusu uagizaji wa mafuta kwa pamoja kwa wajumbe wa kamati hiyo ya PAC.

Azimio hilo la Bunge limetolewa Novemba 5, 2022 kuhusu malipo yaliyofanywa na Serikali kwa Kampuni ya Symbion Power LLC kiasi cha Dola za Marekani Milioni 153.43 sawa na kiasi cha Bilioni 350 ambazo zingeweza kusaidia kutatua shida mbalimbali za wananchi.

20221106_185627.jpg
 
January Makamba and his Dipute Must go.

Huu ndio ukweli ambao watu hawataki kuusemaa
 
Mara nyingi hapa Tanzania watu huwa wanapiga makelele Kisa hawako kwenye mgao..

Tuna jamii ya watu wa ajabu Sana,baada ya hiyo rushwa hutosikia tena.
 
Siku moja baada ya Bunge kuazimia watumishi wa Wizara ya Nishati, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Wizara ya Fedha na Mipango na TANESCO walioshiriki katika mchakato mzima wa uingiaji, utekelezaji na uvunjaji wa mkataba kati ya TANESCO na Symbion uliosababishia Serikali hasara ya Bilioni 350.

Leo jambo la kushangaza Kamati ya Bunge ya PAC iliyochunguza suala hilo la Symbion imeitwa na Wizara ya Nishati na kuwekwa sawa kwa kile kilichotajwa eti ni Semina ya elimu kuhusu uagizaji wa mafuta kwa pamoja kwa wajumbe wa kamati hiyo ya PAC.

Azimio hilo la Bunge limetolewa Novemba 5, 2022 kuhusu malipo yaliyofanywa na Serikali kwa Kampuni ya Symbion Power LLC kiasi cha Dola za Marekani Milioni 153.43 sawa na kiasi cha Bilioni 350 ambazo zingeweza kusaidia kutatua shida mbalimbali za wananchi.

View attachment 2408670
Hiyo Paragraph ya kwanza ujumbe wake haujaeleweka
 
Siku moja baada ya Bunge kuazimia watumishi wa Wizara ya Nishati, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Wizara ya Fedha na Mipango na TANESCO walioshiriki katika mchakato mzima wa uingiaji, utekelezaji na uvunjaji wa mkataba kati ya TANESCO na Symbion uliosababishia Serikali hasara ya Bilioni 350.
Azimio linasemaje?
Azimio hilo la Bunge limetolewa Novemba 5, 2022 kuhusu malipo yaliyofanywa na Serikali kwa Kampuni ya Symbion Power LLC kiasi cha Dola za Marekani Milioni 153.43 sawa na kiasi cha Bilioni 350 ambazo zingeweza kusaidia kutatua shida mbalimbali za wananchi.
Azimio linasemaje?
Leo jambo la kushangaza Kamati ya Bunge ya PAC iliyochunguza suala hilo la Symbion imeitwa na Wizara ya Nishati na kuwekwa sawa kwa kile kilichotajwa eti ni Semina ya elimu kuhusu uagizaji wa mafuta kwa pamoja kwa wajumbe wa kamati hiyo ya PAC.
Hilo azimio linahusiana vipi na hili swala jingine la "uagizaji wa mafuta kwa pamoja"?

Je, baada ya hiyo semina mpya waliyopewa, hao wajumbe wamekanusha lile azimio linalohusu 'kulipwa Symbion?

Hapa sitetei kwa namna yoyote ile madudu ya wizara ile, lakini pia naona siyo sahihi kuhusisha haya mambo mawili.

Kama hao wabunge hawana uwezo wa kusimamia kazi na mambo ya rushwa ndogondogo kama hizo za semina, basi siyo wabunge hao tunaoweza kuwategemea kwa lolote.
 
Hivi mnafikiri wataelewa Sekta inaendeshwa vipi Kama siyo kwa kuita wataalam na kuwaeleza kile wanachofanya. Kupitia semina wabunge wanafahamu pia changamoto zinazoikumba Sekta ili waweze kuzitatua. Shida mnawaza posho tu.
 
Back
Top Bottom