wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,046
- 2,453
Ndo wameandika hayo mavitabu yote au wamekopi tu maandishi ya wengine na kuyakusanya na kuyaweka yaonekane kama mavitabu?
Halafu sidhani kama Samia atayasoma 🤣.
Sidhani kama ni mtu wa kusoma mavitabu kama hayo.
Yeye ni mitandao tu 🤣🤣.
Ripoti inasema hivi...huku title ya mkunya ikisema vingine [emoji23][emoji23][emoji23]Kama wakunya pia!
Haya ..ila.kikubwa ujue kuwa maisha hapa Tanzania yalikuwa Kama kawaida..watu tulikusanyika na kujumuika Kama Ilivyo ada yetu..tuliamua kuishi na ugonjwa huunkama.magonjwa mengine na maisha yakaendelea tu...sasa Hawa wakuna vitambi wanataka kiturudisha kwenye masharti ya kigangaHiiii misimamo ndo imemgharimu!
Hivi huyu hayati mnae muongelea kila wakati ni nani?Kama ni mabadiliko sasa kweli ni mabadiliko. Ina maana huko nyuma haya hayakujulikana?View attachment 1788580View attachment 1788582
View attachment 1788599
Ningeshangaa kama kamati ingekuja na mambo mapya kabisa yote tofauti na nchi zingine, labda kama ingeamua kuendeleza ubishi wa zamani ambao haukuwa na maana yoyote.Ukisoma ripoti nzima hakuna jipya na ni yale yale tunayoyasikia mataifa ya nje.Inaonekana hawakutumia ujuzi na akili zao wala kusikiliza maoni ya wananchi bali wamekopi na kubandika.
Hivi kamati haijasikia kwamba chanjo nyingi zina madhara na mataifa kadha wa kadha wanazirejesha kwao.
Na hawajasikia kuwa taifa lillochanjwa kwa zaidi ya asilimia 60 corona ndio kwanza inaongezeka.
Na kwamba sasa corona huko ilipo haichagui tena umri,mbona wao bado wanagwa makundi ya watoto na wazee.
Nina uhakika huyu waziri sasa hivi angekuwa kichaa kama siyo Magufuli kufariki. Yale aliyokuwa anafanya ili kumridisha ni maluweluwe ya hali ya juu.Waziri wa Afya chini ya Jiwe those days..what a disgress
😂 😂 😂Hiyo ripoti umeisoma wapi maana hata Samia ndio kaipokea.
Dukuduku mnalo nyie.Wasukuma bado mna madukuduku!!!
Hapo ndipo tutajua tuna zaidi ya dhaifu Ikulu pale anajilembua.Huyu Mama aisee, wacha nisiseme nisije kukufuru bure, Mungu atusaidie sana.
Ila WM- Majaliwa, Ni mjanja sana
Uko lndia ambao ni watengenezaji wakubwa wa chanjo, unaona wamepotea wangapi kwa siku? Wewe ni njinga kama wajinga wengine haujui dunia inavyoenda.Ngoja takwimu kuhusu corona zianze kutoka,ili mfungiwe ndani kama kuku ndio utajua, maana Samia ndicho anachokitafutaAmbao hamjanunuliwa utakuwa wewe na hili jamaa Mjingamimi.
Wapumzike kwa amani wahanga wote walio kuwa wametelezewa hili gonjwa.
Inasikitisha kuwa maisha yaliachwa kupotea ambayo kwa hakika hayakupaswa kupotea.
Hivi kina Prof Mchembe na Makubi na waziri Gwajima bado wako ofisini?
Kwa hiyo unataka chanjo kama wazungu. Tatizo lako unakopi na kutuletea unayaona mitandaoni na kuyasikia kupitia king'amuzi. Unavyoona kwa miaka miwili na zaidi ya kuishi na COVID-19 hali ni ngumua kiasi cha kuhitaji na kukubali madhara hayo ya chanjo? Madhara ya chanjo baada ya miaka 3, 5, 10 n.k. umeshayaelewa? Ni kweli hutambui chanjo zote zimepitishwa kwa mpango dharula kuokoa wanavyoteketea? Je sisi tunateketea? Kenya waliteketea? Burundi Uganda, Rwanda, majirani ...... wanateketea.Are you a scientist, at least by Tanzania standards? Madhara ya chanjo za corona yako within acceptable ranges. Any drug ina madhara mradi yawe kwenye acceptable ranges.
The parents of an 18-year-old Nevada woman say she i
- Experts continue to say blood clots caused by COVID-19 vaccines are a rare occurrence.
- So far, the clots have appeared in about 5 people for every 1 million vaccinated. The rate among people diagnosed with COVID-19 is 39 per million.
Hata maji yana madhara lakini tunayanywa within acceptable ranges
Drinking too much water can result in water intoxication, also known as hyponatremia, causing the inside of cells to flood due to abnormally low sodium levels in your bloodstream. In severe cases, water intoxication can lead to debilitating health problems such as seizures, coma, and even death.
Huyo ndio kiongozi wa Kweli, maana ya kiongozi ni kujitoa kwa ajili ya watu wako,hata kama itakugalimu maisha yako,sio huyu takataka kazi ni kujipamba na kupaka lipstick tu, unafikiri anatafuta umiss TanzaniaHaya ..ila.kikubwa ujue kuwa maisha hapa Tanzania yalikuwa Kama kawaida..watu tulikusanyika na kujumuika Kama Ilivyo ada yetu..tuliamua kuishi na ugonjwa huunkama.magonjwa mengine na maisha yakaendelea tu...sasa Hawa wakuna vitambi wanataka kiturudisha kwenye masharti ya kiganga
Tangu alipoanza teuzi za kurudisha watu waliokwisha kaa kijiweni kwa ufisadi wao, hapo ndo nimeona njia yetu ilivyo na utelezi. Hatutapiga hatua na sijui ni kweli anafuta ushauri wa wastaafu? Yaani unahitaji kamati ya kukwambia vaa barakoa?Mama yenu amezungukwa na madalali ,dalali yupo radhi kusema uongo mkubwa hili apate kodi ya mwezi mmoja tu na kukuacha ww ukiangaika miezi 6 au mwaka mzima
Eti kachumbari ni dawa ya covid19..tokea lini?..kwa clinacal trials gani?Nina uhakika huyu waziri sasa hivi angekuwa kichaa kama siyo Magufuli kufariki. Yale aliyokuwa anafanya ili kumridisha ni maluweluwe ya hali ya juu.
Kama ingekuwa hivo basi wasingebadili mawazo ya kwamba watu chini ya miaka 50 wasitumia hiyo chanjo ya astra... na kuagiza chanjo nyingine ya moderna ambapo kwa nchi zetu za kiafrika ni ngumu kuinunua kwa sabb ya gharama kubwa. Kwa sasa huwezi elewa kwa sababu ya ushabiki lakini kuna wakati utafika utajua kwann kuna mapingamizi mengi sana juu ya hizi chanjo.Are you a scientist, at least by Tanzania standards? Madhara ya chanjo za corona yako within acceptable ranges. Any drug ina madhara mradi yawe kwenye acceptable ranges.
The parents of an 18-year-old Nevada woman say she i
- Experts continue to say blood clots caused by COVID-19 vaccines are a rare occurrence.
- So far, the clots have appeared in about 5 people for every 1 million vaccinated. The rate among people diagnosed with COVID-19 is 39 per million.
Hata maji yana madhara lakini tunayanywa within acceptable ranges
Drinking too much water can result in water intoxication, also known as hyponatremia, causing the inside of cells to flood due to abnormally low sodium levels in your bloodstream. In severe cases, water intoxication can lead to debilitating health problems such as seizures, coma, and even death.
Hata yeye alisema, "Mtanikumbuka kwa mazuri, sio kwa mabaya"Simpendi Magufuli na nimeona bora kafa
Ila kwenye ishu ya Corona alicheza kama Pele
Kwa nn haya mafua yanapigiwa chapuo namna hii tofauti na TB Ukimwi n.k
Kipo kitu nyuma ya pazia