#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

kinachonifurahisha ni kwamba barakoa zinavaliwa kipindi cha kukabidhi na picha za kitaifa baada ya hapo wahusika maisha yao ya kawaida hawavai barakoa na wananchi wanaoongea nao hawaoni haja ya kuwapa barakoa japo katika kipindi cha kuongea nao ila hawaoni tabu kuwapa mlo.
bora mlo 7000 lakini sio barakoa ya 700/- kweli!
 
hii issue ya corona inamajibu mengi sana lakini wacha tutunze vibwaya vyetu tusubiri ngoma tucheze japo sina uhakika tutacheza tutakavyo bali wapiga ngoma watakavyo!
 
The deal is done, the report poses as a covert defense amid the citizens cold backlash
 
Kaka hakuna anakuzuia kujielimisha.
1. Ndiyo, chanjo ni kinga. Si 100% lakini kama 80-90%. Imethibitishwa na wataalamu China, Afrika Kusini, Urusi, Uhindi, Marekani, Ulaya, Australia ...

2. Wewe huhitaji chanjo kama hutaki. Ila ukubali wengine wanafanya maazimio yao kwa hiyo usitegemee kuhiji Makka, kufanya biashara China, kusoma Ulaya au Marekani. Ni azimio lako. Pamoja na kutoingia katika nchi jirani zitakazoweka mashariti ya kuonyesha kadi ya chanjo wakati ujao.

3. Tatizo la Uhindi ni: A) hadi sasa walifikia asilimia ndogo mno wa watu wao, hata kama wamshapiga mamilioni lakini wako zaidi ya biloni. B) baada ya kupita vema awamu ya kwanza sisas yao ililegea. Waziri Mkuu Modi anatafuta kura za wafzasi wa Uhindi, hivyo hakutaka kutamka maonyo au kutangaza mashariti wakati wa sikuu kubwa ya Kinhidu ambako mamilioni walihiji na kuktana; pia walikuwa na kampeni za uchaguzi katika majimbo kadhaa bila mashariti yoyote kwenye miktano ya hadhara. Sasa wanavuna matokeo.

Katika yote nahofia Tanzania imeshapitiwa na wakati kupata chanjo karibuni. Nchi kadhaa zilichangia pesa ili Afrika ipate kiasi cha chanjo; akiba hii inakwisha sasa. Uhindi walipata mlipuko ho hivyo hao, ilhali ni watengenezaji wakuu wa madawa duniani, wamapiga marufuku kuuza dawa la chanjo nje ya Uhindi hadi waendelee kufikia watu wao wenyewe.
 
Kwa taarifa hii, waziri wa afya na naibu waziri wa afya wawajibike kwa kujiizulu. Pia walimdanganya JPM
 
Wasukuma bado mna madukuduku,
Hapo ndipo tutajua tuna zaidi ya dhaifu Ikulu pale anajilembua.
Mtheenge ww,, acha dharau kwa Rais
 
Acha ujinga wewe bwege. Kwa taarifa yako ni kuwa yule hayati kama angekuwa anazingatia kuwa Corona ni hatari asingekufa na wala yale mavifo ya ajabu ajabu yasingekuwepo. Ulizoea kuishi hivyo wewe na nani wakati mwenzako ameshafariki?

Hivi unajua kuwa India walifanya mzaha kama wewe unachotaka tufanye unaona madhara yake? Emb funga up! Hujui Corona imeigharimu nchi kiasi gani. Au kwa vile wewe hujafa?
 
Umasikini wa kifikra ni kitu kibaya sana
 
Bado natafakari sana, kamati ya wataalam awamu ya sita ni kina nani na kamati ya watalaam awamu ya tano ni kina?....kwanini kamati awamu ya tani ilishauli vile na kamati awamu ya sita imeshauli hivi?
 
Soon, rais ataambiwa TZ mulichelewa, kopa pesa kwa ajili ya COVID. Naanza kuona anguko letu ili wasema JPM alituponza.
 
Bado natafakari sana, kamati ya wataalam awamu ya sita ni kina nani na kamati ya watalaam awamu ya tano ni kina?....kwanini kamati awamu ya tani ilishauli vile na kamati awamu ya sita imeshauli hivi?
Uzuri wa kamati za marais wetu hushauri kutegemea ufahamu wa aliyeiunda.
 
Jamani kuna jipya kwenye mapendekezo yatakayoletwa kutoka kwenye kamato ya RJMT ya COVID-19 au ni kuigilizia yale ya USA na ulaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…