#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

Tunaenda kinyume nyume , dunia iko kwenye hatua za mwisho za corona Rais anataka tuanze upya , yaani turudi 2020 kukabiliana na corona, huyu Rais mshauri wake ni nani? anajua madhara ya kutanga corona hewa? kweli tuna kiongozi bendera fuata upepo.
 
..hakuna jipya kwenye corona.

..njia ya kujifukiza imeondoka na bwana mkubwa na wasaidizi wake wa karibu.
 
Nilitarajia tume ije na majibu kwamba wamefanyia utafiti zile chanjo na wameona iliyobora kwa mzingira yetu ni astrazeneca au Johnson Johnson au nyingineyo katika zilizogunduliwa. Au watoe suggestions juu ya side effects zinazo ambatana na dawa hizo kama kuganda kwa damu kushindwa kupumua na vifo.
 
Nchi ishapotea hii sasa.

Yaani imeishauri serikali itangaze uwepo wa corona?hii corona mbona inapaishwa sana saiv
 
... Rais na Mwenyekti wa Kamati kwenye makabidhiano ya ripoti (just two people) wamevaa barakoa halafu kapuku mwenzangu unajitoa ufahamu eti hakuna korona! Watch out!
Hii corona ndio imeshika kasi baada ya samia kua Rais au?
Mbona inapigiwa upatu sanaaa wkt mtaani watu washaisahau kama kuna hicho kitu
 
We Nyani ughaibuni acha dhihaka kwa Rais SASHA, kwamba yeye hawezi kusoma na kuchambua vitabu bali comments za kwenye mitandao? Duh!!!
 
Mkuu hapa si kuwa hatuikubali chanjo, ila je tumeijiandaa na chanjo? Je Ni kwel tunahitaji kulitangazia taifa tunahitaji chanjo? Je mkuu unajua hw long chanjo huwa inakuwa examined?? Kwa nn hatujafkiria madhara yaliyopo?? Yaan tumewaza tu kwenda USA. Na ulaya ili tusitengwe na jamii ya kimataifa??

Mkuu unajua kuwa tz tuna kitu inaitwa herd immunity (Kama ntakuwa sijakosea)
Yaan kulingana na ugonjwa ulivokuja we did it and we made it... Tatzo tulipaswa kuwa na strong institute ambayo ingeweza kujendeleza Yale mazuri...

Mkuu hv unajua c19ipo ikulu na kwenye mikutano ya kisiasa, na dhifa za kitaifa hapo ndo unajua ahaaa kumbe cvd ipo bt kwenye jamii huku asee hicho kitu hakipo kabisa, tunaishi nao Kama vile HIV. Maralia. Au mafua.... Ila hatuna hlo janga...

Nw ndo wanataka kulileta wanaondoa kujiamini, wanaleta hofu na kuuwana ukwel Ni huuu.. MAMA aliua taifa kabisa.. ikiwa atafanya makosa ya kiufundi..
 
Duuh R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI.... huyu jamaa alikuwa ni gifted kwenye hili taifa aliweza kuona mbali sana!!!!
 
Wewe ulishakua kiongozi wapi,au ujuaji tu wakijinga hapo ulipo utakuta ata familia yako tu inakushinda.
Kwanza huyu ni Rais wa Katiba tu,Kama sio kubebwa na Magufuri Nani angelikubari Samia awe rais wetu,rais gani nyoronyoro hivi,aende kwao zanzibar sie Watanganyika tulisha choka,kwanza ni mvivu.anawaza misaada tu.
 
Umeambiwa chanjo ni hiari na hakutakua na kufungiwa ndani hivyo hakuna haja na kua na wasiwasi
 
VP kwenye utafiti wenu mmeeleza maside effect ya hzo chanjo? au tunaende tunaenda tu? nmeona mmezungumzia umri wa watu wazma na kuna baadh ya chanzo zmezuiliwa kutolewa kwa watu wazma kuanzia miaka 60, kuna chanjo inasifa ya kugandisha damu, kuna chanjo baada ya kutumia wengne wanashndwa kusee cku zao, au mnaangalia matumbo yenu na matrilion ya madili hayo mnayoita ya msaada wakati mnafidiana kwa tanzanite? chanjo ni jambo jema ila mjiandae kwa mtafaruko utakao letwa na hao walala hoi endapo hio chanjo ikaleta negative effect.
 
Hayo Ni Copy and Paste Tu, Uongo na Ujinga Mwingi Ndani Ya Hayo Mavitabu
Well said, baada ya kupitia machapisho ya: WHO, NHS ya Uingereza na mapendekezo ya Serikali ya Merikani kuhusu njia ya kudhibiti ugonjwa wa COVID-19 ni wazi wenzetu wame borrow a leaf kutoka kwenye taasisi - tuombe Mungu wasije wakapendekeza kwamba Watanzania wachanjwe chanjo zinazo tokana na mRNA badala ya chanjo zinazo zalishwa kwa kutumia njia ya asili (attenuated covid virus) - au kama vipi basi waache Watanzania wachague aina/type ya chanjo kila mtu anayo taka adungwe baina ya chanjo za type ya mRNA zinazo zalishwa na makampuni ya magharibi ya madawa na chanjo au chanjo zinazo zalishwa kwa njia ya asili zinazo toka huko Uchina,Urusi pamoja na Cuba.
 
We umepigwa chanjo ngapi toka uko mdogo na uko hai mpaka leo? USA karibia nchi nzima wamepata chanjo,same hata UK na Mataifa yote ya ulaya. China, Russia na other big nations za Asia wame fanikiwa kutoa chanjo ya kutosha kwa watu wao. Huko kote wako kwenye mkakati wa kupunguza watu wao miaka michache ijayo kwa kutumia covid19 vaccine?
 
Wenye ndoto za kujilipua chanjo ikija fanya hima upate, Binafsi leo nimesherehekea report ya kamati.
Covid passport ni Kama ilivyokuwa kadi ya yellow fever, Huna chanjo hakuna Safari.

Wale wa dar, mbeya, Dodoma mnaweza endelea kukaa bila chanjo, Kamati imesema sio lazima.
 
Ucje ukakubal chanjo hii ngie mwilin mwako bila kujua uwakika wa utendaji kazi mwilin mwako, af kinacho nishangaza apa hao wanao chanja ndo wanakufa wengi kuliko sisi ambao bado hatujaanza kuchanja rate ya vifo ya tz na India vya covid havfanan af kule wana chanjo zao na za kutoka Uingereza , ndo kitu knanfanya nishindwe kuchanganyikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…