#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

Kwanza huyu ni Rais wa Katiba tu,Kama sio kubebwa na Magufuri Nani angelikubari Samia awe rais wetu,rais gani nyoronyoro hivi,aende kwao zanzibar sie Watanganyika tulisha choka,kwanza ni mvivu.anawaza misaada tu.
Huwakilishi watanganyika chief,halafu kiongozi sio lazima atuongoze kwa kufoka foka.
 

Hivi hii tume inaweza kuwa I etumia sh ngapi hadi kukamilisha kazi yake
 
Naomba hiyo Kamati ijibu maswali haya: -
Je,ukipata hiyo chanjo:-
(1)Unaendelea kuvaa barakoa?
(2) Unaweza kuambukiza au kuambukizwa Corona?
(3) Ni Nchi ngapi zilizotumia chanjo na hali ikoje baada ya kutumia hiyo chanjo?
(4) Kama kweli hiyo chanjo inasaidia, kwa nini huko Duniani Corona bado inasumbua sana?
 
Hivi hii tume inaweza kuwa I etumia sh ngapi hadi kukamilisha kazi yake
Mzee ukisikia tume tena ya Rais jua kila kinachofanyika kinakuwa na status ya mwenye tume mwenyewe

Tumsubr kichele aje atuambie 😂😂😂
 
Wazee. Kuweni makini. Epidemiology ya covid -19 inaonyesha huu ugonjwa kuenea sana na kuua sana kuanzia October to March. Hivyo ndivyo imekua miaka yote miwili ya maambukiz Tanzania. Mwaka huu inaweza ikawa ivo ivo
 
Hapo ndipo andiko lililonenwa na Nabii JPM linapoanza kutimia.
Beberu leo atakuwa ameweka sherehe kusherehekea ushindi wa kishindo.
 
Kwenye Hilo tumeingizwa mkenge,sijajua sifa na weledi walionao walioitwa wajumbe wa hiyo tume. Rais wetu tunakupenda lkini kwa hili la chanjo hatuko na wewe kabisaaa.

 
Nchi liendeshwa kienyeji sasa inarudi kwenye mstari mnyoofu.
 
Asante kwa hiyo ufafanuzi zaidi
 
Afazali nitachomwa chanjo asante mama Samia Kwa kuniletea chanjo ya covid make mwenda zake aliiweka kiburi korona ikamuondoa fasta tu
 
Watu baadhi walikuwa wanahimiza kupewa majibu ya kisayansi ya nyunga na dawa za asili nyingine. Hivi kamati imefanikiwaje kufanya utafiti wa kisayansi na kujiridhisha kuwa 'a.' inafaa kwa sasa!?
 
Pendekezo namba 6 sitaki kulisikia kabisa.

Mama Samia please,the whole nation is in your hand!Mungu akufunulie kitu!

Hiyo kitu inaitwa GAVI na makandokando yake yote ifuatilieni vizuri.
😡
 
Mkuu nnachanjo nying kidg na kwa kuwa si mzawa wa 80s m niwa 70s Kama Ni mdogo hutajua... Bt chanjo zote kulikuwa na utafiti wa mda mrefu more than 5_15yrs...

Sasa mkuu hi chanjo hata hata hatua zake hakuna huon kwamba kuna something wrong?? Hv kwel thinktank ya taifa inakuja na majib ambayo wote tunajua?? Mkuu unaishi tz??? Kama unakaa kwenye miji mikubwa utakubaliana nami kuwa tunaish na ugonjwa Kama ugonjwa mengine...

Ngoja mgogoro uanze pale utakaposikia takwim zinatolewa hyo panik yake hujawahi kuiona.. kwa nn ukimwa na magonjwa mengine hakuna takwimu?? Y cvd.. what is the hidden agenda???

Something is wrong somewhere!!!!
 
Kamati ya Corona imeishauri Serikali ya Tanzania;

1) Itangaze uwepo wa Corona
2) Iruhusu matumizi huru ya Chanjo sahihi za Corona....
Yeye na JPM ni kitu hichi... (1)
Wenye akili zao watamjua mama samia ni nani., nimefurahi kusikia ni chanjo huru, ukitaka utachoma hutaki utatulia, ukiwa mtu wa biashara au hijja utaamua kwa uhuru kabisa.

Mimi nadhan mama samia ametufikisha mahali ambapo ndio matarajio ya wananchi wengi wa Tanzania, walio na theory kama ya Gwajima wataenda kulia lia chooni huko peke yao.,
 
Mkuu nnachanjo nying kidg na kwa kuwa si mzawa wa 80s m niwa 70s Kama Ni mdogo hutajua... Bt chanjo zote kulikuwa na utafiti wa mda mrefu more than 5_15yrs...
Nothing wrong actually, since chanjo zitakuwa huru atachoma aliye na mahitaji nayo ambaye hana mahitajio utatulia nyumbani kwake., na hivi ndivyo wenzetu wanavyoishi sisi tulikuwa tumelala usingizi wa ponoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…