Cicero
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,924
- 3,074
- Kila nchi mwanachama imetoa wataalam wawili
- Kamati itakaa na kutoa rasimu ya kwanza ya katiba ya "Jamhuri ya Shirikisho la Afrika Mashariki" baada ya miaka mitatu (2018-2021)
- Itatembea kila nchi na kukusanya maoni ya wananchi
- Kikubwa ni namna ya kugawana mamlaka kati ya serikali ya shirikisho na serikali za nchi wanachama na pia muundo wa serikali yenyewe ya Afrika Mashariki
Zaidi tazama :