Kamati ya kuandika katiba ya Shirikisho la Afrika Mashariki yaundwa, jaji mkuu mstaafu wa Uganda achaguliwa mwenyekiti

Unaunga mkono nchi za Afrika Mashariki kuungana na kuunda nchi moja?

  • Ndio

  • Hapana

  • Sijui


Results are only viewable after voting.

Cicero

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2016
Posts
2,924
Reaction score
3,074
  • Kila nchi mwanachama imetoa wataalam wawili
  • Kamati itakaa na kutoa rasimu ya kwanza ya katiba ya "Jamhuri ya Shirikisho la Afrika Mashariki" baada ya miaka mitatu (2018-2021)
  • Itatembea kila nchi na kukusanya maoni ya wananchi
  • Kikubwa ni namna ya kugawana mamlaka kati ya serikali ya shirikisho na serikali za nchi wanachama na pia muundo wa serikali yenyewe ya Afrika Mashariki

Zaidi tazama :
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…