vamda JF-Expert Member Joined Aug 1, 2012 Posts 895 Reaction score 571 Nov 28, 2013 #1 Ndugu wana JF. Napenda kufahamu muundo wa kamati ya kuchambua barua za watumishi wanaohama mikoani. Kamati hiyo huundwa na watu wangapi na wenye nyadhifa zipi serikalini? Nawasilisha.
Ndugu wana JF. Napenda kufahamu muundo wa kamati ya kuchambua barua za watumishi wanaohama mikoani. Kamati hiyo huundwa na watu wangapi na wenye nyadhifa zipi serikalini? Nawasilisha.
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 Nov 28, 2013 #2 Mi najua ni watu wa TAMISEMI ila vigezo vya kuwachagua ndo sivijui.