Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imependekeza Wizara ya Kilimo kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji ivunje mkataba na Mkandarasi Badr East Africa Enterpries Limited ambaye anatakeleza ujenzi wa mradi wa Skimu ya Umwagiliaji Mgongola Wilayani Mvomero mkoani Morogoro.
Maamuzi ya Kamati hiyo inakuja baada ya taarifa ya Mhandisi wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Mkoa wa Morogoro Matanga Juma kudai kuwa mkandarasi ameacha kuendelea na ujenzi akitaka kuongezewa fedha kutoka Bil 5.2 hadi Bil 12 nje na makubaliano ya mkataba ikiwa ni ongezeko la Bil.7.7
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Anasema mradi ulianza mwaka September 2022 na ulitakiwa kukamilika Januari 2024 lakini hadi sasa umefikia asilimia 40 tu huku akigoma kuendelea na mradi huo kwa Madai fedha ni chache kwa sababu kifusi kinapatikana umbali wa kilometa 4 badala ya mita 200 ilivyopangwa awali.
Maamuzi ya Kamati hiyo inakuja baada ya taarifa ya Mhandisi wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Mkoa wa Morogoro Matanga Juma kudai kuwa mkandarasi ameacha kuendelea na ujenzi akitaka kuongezewa fedha kutoka Bil 5.2 hadi Bil 12 nje na makubaliano ya mkataba ikiwa ni ongezeko la Bil.7.7
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Anasema mradi ulianza mwaka September 2022 na ulitakiwa kukamilika Januari 2024 lakini hadi sasa umefikia asilimia 40 tu huku akigoma kuendelea na mradi huo kwa Madai fedha ni chache kwa sababu kifusi kinapatikana umbali wa kilometa 4 badala ya mita 200 ilivyopangwa awali.