huko kwenu vipi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 1,520
- 1,462
Habarini wanajamvi.....
Nimeona TFF wakitangaza kamati yenye wajumbe 14 ikiongozwa na DAB ya kariakoo(Dar Mpya) kama Mwenyekiti....
Unaunda kamati ili iweje? ifanye nini?
Taifa stars si imemwajiri kocha Emanuel Amunike kazi yake si ni kuipeleka Taifa mbele kimchezo???
Simba wamefuzu robo finally club bingwa Africa je kuna kamati yeyote iliyoundwa ili Simba kufuzu robot finally? Mbona wamefuzu?
Taifa stars kufuzu na kutokufuzu ni kazi ya Kocha TFF acheni kuishangaza dunia,
Mnaharibu mpira,
Nakumbuka waliwahi kuunda kamati kipindi cha Serengeti boys hatimaye tukaambulia hewa.....
Kamati za kazi gani?? Et saidia Taifa stars ishinde,ishinde kwa njia gan? Uchawi,hongo,etc....
TFF kuweni makini acheni siasa kwenye Mpira.....
Nimeona TFF wakitangaza kamati yenye wajumbe 14 ikiongozwa na DAB ya kariakoo(Dar Mpya) kama Mwenyekiti....
Unaunda kamati ili iweje? ifanye nini?
Taifa stars si imemwajiri kocha Emanuel Amunike kazi yake si ni kuipeleka Taifa mbele kimchezo???
Simba wamefuzu robo finally club bingwa Africa je kuna kamati yeyote iliyoundwa ili Simba kufuzu robot finally? Mbona wamefuzu?
Taifa stars kufuzu na kutokufuzu ni kazi ya Kocha TFF acheni kuishangaza dunia,
Mnaharibu mpira,
Nakumbuka waliwahi kuunda kamati kipindi cha Serengeti boys hatimaye tukaambulia hewa.....
Kamati za kazi gani?? Et saidia Taifa stars ishinde,ishinde kwa njia gan? Uchawi,hongo,etc....
TFF kuweni makini acheni siasa kwenye Mpira.....