Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Wakipatana, chukua kapu ukavuneNdugu wakigombana chukua jembe ukalime
Naam mkuu Taifa lina mambo mengi ya msingi ya kujadili ila hili la huyo baba watu walipuuze watajuana wenyewe bungeniWakipatana, chukua kapu ukavune
Upike ,ule ulale kwa amaaaani kabisaaaaaaaaWakipatana, chukua kapu ukavune
Watajijua wenyewe hayatuhusuShauri yenu wenyewe
Kilindoni
kumbe Gwaji boy ana kondooKwa hili nko upande wa Gwajima ,
Kama mtumishi, Ni lazima awe mfano wa kuigwa kiimani na kondoo wake!
Serikali imeshindwa kutambua kwamba Kuna Gwajima wawili ndani ya mtu mmoja, Gwajima ambaye Ni mbunge, na Gwajima ambaye Ni pastor!
Mbna wakat wa mwenda hawakumbughudhi?
Wabunge na bunge Acheni unafiki
Kama ni kiongozi wa dini kwenye siasa alifuata nini? Lakini pia kamati iache kulalamika ichukue hatua stahikiKamati ya Maadili imesema kitendo cha Mbunge wa Kawe Josephat Gwajima kukataa vitu alivyoandaliwa kama ujeuri.
Gwajima alikataa kutumia kiti na kipaza sauti, siku ya nyingine alikataa kukaa chini kama alivyoelekezwa.
Aidha amesemwa kutojibu maswali kadiri yalivyoulizwa bali aling'ang'ania kuwa kiongozi wa dini.
Binadamu tuna 'double standards' mno. Ninajiuliza hapa kama angekuwa mpinzani ingekuwaje. Halafu, hiyo kamati kutujuza haya inamaanisha nini? Kwamba Mchungaji ameshindikana hivyo wanamkabidhi kwetu, raia? Ninaomba Mchungaji aendelee na 'ukichaa' wake huohuo ili wajifunze.Kamati ya Maadili imesema kitendo cha Mbunge wa Kawe Josephat Gwajima kukataa vitu alivyoandaliwa kama ujeuri.
Gwajima alikataa kutumia kiti na kipaza sauti, siku ya nyingine alikataa kukaa chini kama alivyoelekezwa.
Aidha amesemwa kutojibu maswali kadiri yalivyoulizwa bali aling'ang'ania kuwa kiongozi wa dini.