Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Kamati ya maadili ya mawakili wa Tanganyika[Zanzibar hawahusiki] imekuwa sumu, mwiba, jehanamu kwa mawakili. Kamati badala ya kulinda, kutetea na kurekebisha mawakili yenyewe imekuwa kichaka cha kufuta, kufukuza na kusimamisha mawakili.
Mwabukusi ameipeleka mahakamani, Rutagatina aliwahi kuipeleka mahakamani.
Inaundwa na
(a) Jaji wa Mahakama Kuu atakayeteuliwa na Jaji Mkuu
(b) Mwanasheria Mkuu, Naibu Mwanasheria Mkuu au anayemwakiliasha
(c) Wakili anayeteuliwa na Counsel for Legal Education
Sakata la Fatma Karume kufungiwa, mara sijui kila mwaka wanafungiwa, wanashindwa kujifunza kwa mapolisi wanavyo lindana, nenda karipoti issue ya polii ama afisa ardhi uone.
Kamati ya Maadili ya mawakili imempa onyo, Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na malalamiko yaliyotolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Eliezer Feleshi kwamba kuwa alitoa kauli za kichochezi, zisizo na staha na zisizozingatia taaluma ya uwakili.
Julai mwaka jana, Dk. Feleshi alipeleka shauri lake katika kamati hiyo akilalamika juu ya kauli alizozitoa Mwabukusi wakati akizungumza na vyombo vya habari.
Moja ya kauli iliyotajwa katika malalamiko hayo ni maneno ya Mwabukusi kwamba, “Spika wa Bunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hawajui walichopitisha Bungeni kwamba hata Chifu Mangungo anasingiziwa maana yeye alijua ni Mkataba.
Mwabukusi ameipeleka mahakamani, Rutagatina aliwahi kuipeleka mahakamani.
Inaundwa na
(a) Jaji wa Mahakama Kuu atakayeteuliwa na Jaji Mkuu
(b) Mwanasheria Mkuu, Naibu Mwanasheria Mkuu au anayemwakiliasha
(c) Wakili anayeteuliwa na Counsel for Legal Education
Sakata la Fatma Karume kufungiwa, mara sijui kila mwaka wanafungiwa, wanashindwa kujifunza kwa mapolisi wanavyo lindana, nenda karipoti issue ya polii ama afisa ardhi uone.
Kamati ya Maadili ya mawakili imempa onyo, Wakili Boniface Mwabukusi kutokana na malalamiko yaliyotolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Eliezer Feleshi kwamba kuwa alitoa kauli za kichochezi, zisizo na staha na zisizozingatia taaluma ya uwakili.
Julai mwaka jana, Dk. Feleshi alipeleka shauri lake katika kamati hiyo akilalamika juu ya kauli alizozitoa Mwabukusi wakati akizungumza na vyombo vya habari.
Moja ya kauli iliyotajwa katika malalamiko hayo ni maneno ya Mwabukusi kwamba, “Spika wa Bunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hawajui walichopitisha Bungeni kwamba hata Chifu Mangungo anasingiziwa maana yeye alijua ni Mkataba.