Kamati ya mapokezi jiandaeni kupokea wageni mtangaze utalii

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Hii kamati ya mapokezi mna maneno mengi sana.Mliisema sana Simba msimu uliopita mara ooh covid imewabeba,mara ooh sisi tukishiriki tutawaonesha mpira unachezwaje...Mungu si Athuman,Simba amewabeba mkaingia klabu bingwa.
Mechi ya kwanza tu mmeliaibisha taifa.

Basi jiandaeni kwenye kazi yenu maana mtawapokea sana wageni mwaka huu
 
Nyie ndo mtafika wapi kwa timu yenu niliyoiona Leo, ndo mnajitapa kufika mbali kwa kikosi hiki nilichoona Leo,,labda muendelee kuwekeza zaidi kwenye paka weusi na makafara vinginevyo safari yenu haipo mbali
 
Utopolo usajili mkubwa ni msukule labda[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Watasema caf inawapendelea simba!! Kwa nini sisi tu heze mechi 2 wakati Simba hawajacheza hata moja?? Kwa mwelewa hoja hii ni kama kichekesho fulani lakini kwa utopolo hiyo ni bonge ya point
 
Kwani Ud Songo ilikuwaje? Au mlivuka preliminary stage, hebu tukumbusheni
 
Dah kweli watu mna mhaho yaani msimu uliopita simba kaishia robo fainali wewe unaleta habari za ud songo za mwaka 47, haki Mnyama atakutesa sana relax babu
Kwani Ud Songo ilikuwaje? Au mlivuka preliminary stage, hebu tukumbusheni
 
Siyo kunguru?
Nyie ndo mtafika wapi kwa timu yenu niliyoiona Leo, ndo mnajitapa kufika mbali kwa kikosi hiki nilichoona Leo,,labda muendelee kuwekeza zaidi kwenye paka weusi na makafara vinginevyo safari yenu haipo mbali
 
Tayari umeshapata heat uko tayari kutafunwa
Kimtokacho mtu ndicho anachoishi. Hivyo usifikiri uyafanyayo wewe kwamba na wengine wanayafanya, siyo kweli. Hiyo ya kuwa kwenye joto na kuwa tayari kufanywa Baki nayo wewe maana inaonyesha pasi Shaka kuwa u mzoefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…