Kamati ya mapokezi yajipanga kupokea VAR

Kamati ya mapokezi yajipanga kupokea VAR

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Ni katika muendelezo wa kukirimu wageni, ile kamati nguli ya mapokezi inajipanga kupokea VAR na wasimamizi wa VAR watakapowasili nchini kwa mechi kati ya mabingwa watarajiwa wa confederation cup mwaka huu SIMBA SC. na pirates

Hatua hiyo ni maandalizi ya kuwapokea orlando pirates au wanaume kama walivyoagizwa na KILABU chao kupitia kwa msemaji wao bwana msukule

Week hii bahasha za khaki kwa kamati ya mapokezi ni mara mbili , Mungu awape nini? pigeni kazi na msisahau kumshukuru Rais kwa opportunities mnazozipata maana baada ya pirates kuna waarabu watakuja kwa nusu fainali

***MSISAHAU KUWAAMBIA WASIMAMIZI WA VAR NA PIRATES KWAMBA VYUMBA VITAPULIZIWA SUMU NA MAREFA WASHANUNULIWA..TIMIZENI WAJIBU WENU TAFADHALI KILA MTU AFANYE KAZI YAKE KWA UFASAHA HIYO NDIYO KAZI YENU>>>>>>
 
Nakubali mwamba ila mwishoni nimependa kwa kuwapa kumbukumbu safi wasije sahau #nguvumoja
 
Nakubali mwamba ila mwishoni nimependa kwa kuwapa kumbukumbu safi wasije sahau #nguvumoja
wafanye kazi yao kwa ufasaha ALBINO kwa niaba ya kilabu chao kinachopenda kuwa na mwiko nyuma kawaagiza wakawapokee wanaume toka sauzi ,wasisahau pia kuwaambia kuhusu sumu vyumbani maana hiyo kazi wameifanya kwa miaka 4 sasa kwa ustadi mkubwa and they are very good at it
 
wafanye kazi yao kwa ufasaha ALBINO kwa niaba ya kilabu chao kinachopenda kuwa na mwiko nyuma kawaagiza wakawapokee wanaume toka sauzi ,wasisahau pia kuwamabia kuhusu sumu vyumbani maana hiyo kazi wameifanya kwa miaka 4 sasa kwa usatdi mkubwa and they are very good at it
Naona kwenye hichi chama chao wamemuongeza na banda
 
Ni katika muendelezo wa kukirimu wageni, ile kamati nguli ya mapokezi inajipanga kupokea VAR na wasimamizi wa VAR watakapowasili nchini kwa mechi kati ya mabingwa watarajiwa wa confederation cup mwaka huu SIMBA SC. na pirates

Hatua hiyo ni maandalizi ya kuwapokea orlando pirates au wanaume kama walivyoagizwa na KILABU chao kupitia kwa msemaji wao bwana msukule

Week hii bahasha za khaki kwa kamati ya mapokezi ni mara mbili , Mungu awape nini? pigeni kazi na msisahau kumshukuru Rais kwa opportunities mnazozipata maana baada ya pirates kuna waarabu watakuja kwa nusu fainali

***MSISAHAU KUWAAMBIA WASIMAMIZI WA VAR NA PIRATES KWAMBA VYUMBA VITAPULIZIWA SUMU NA MAREFA WASHANUNULIWA..TIMIZENI WAJIBU WENU TAFADHALI KILA MTU AFANYE KAZI YAKE KWA UFASAHA HIYO NDIYO KAZI YENU>>>>>>
Naniii anaigaramia iyo VAR ikiwa hapa nchiniii??
 
Ni katika muendelezo wa kukirimu wageni, ile kamati nguli ya mapokezi inajipanga kupokea VAR na wasimamizi wa VAR watakapowasili nchini kwa mechi kati ya mabingwa watarajiwa wa confederation cup mwaka huu SIMBA SC. na pirates

Hatua hiyo ni maandalizi ya kuwapokea orlando pirates au wanaume kama walivyoagizwa na KILABU chao kupitia kwa msemaji wao bwana msukule

Week hii bahasha za khaki kwa kamati ya mapokezi ni mara mbili , Mungu awape nini? pigeni kazi na msisahau kumshukuru Rais kwa opportunities mnazozipata maana baada ya pirates kuna waarabu watakuja kwa nusu fainali

***MSISAHAU KUWAAMBIA WASIMAMIZI WA VAR NA PIRATES KWAMBA VYUMBA VITAPULIZIWA SUMU NA MAREFA WASHANUNULIWA..TIMIZENI WAJIBU WENU TAFADHALI KILA MTU AFANYE KAZI YAKE KWA UFASAHA HIYO NDIYO KAZI YENU>>>>>>
Acha bangi wewe utakufa kwa wivu, kila uzi lazima uwataje wasiousika na ujinga wenu au wanakupumulia kisogoni? Maana umekuwa kama shoga asiejielewa ovyo kabisa pimbi wewe
 
Acha bangi wewe utakufa kwa wivu, kila uzi lazima uwataje wasiousika na ujinga wenu au wanakupumulia kisogoni? Maana umekuwa kama shoga asiejielewa ovyo kabisa pimbi wewe
Huo mwiko ulioko NYUMA tangu mwaka 35 unabadilishwagwa kweli? maana utakuwa unanuka kinyesi hatari...kama ni suala la ushoga hilo ni nyie vyura mliopewa maelekezo ya kwenda kuwapokea WANAUME toka sauzi na semaji lenu albino bila shaka utakuwa mstari wa mbele umevaa dera
Eti wivu..wivu my ass yaani niwaonee wivu watu miaka 4 wamepokea teams za kila aina hadi wamezisahau wako kama ma robot kial siku story zao ni vyumba kupuliziwa sumu
 
Huo mwiko ulioko NYUMA tangu mwaka 35 unabadilishwagwa kweli? maana utakuwa unanuka kinyesi hatari...kama ni suala la ushoga hilo ni nyie vyura mliopewa maelekezo ya kwenda kuwapokea WANAUME toka sauzi na semaji lenu albino bila shaka utakuwa mstari wa mbele umevaa dera
Eti wivu..wivu my ass yaani niwaonee wivu watu miaka 4 wamepokea teams za kila aina hadi wamezisahau wako kama ma robot kial siku story zao ni vyumba kupuliziwa sumu
Tafuta kazi uhame kwa shemeji yako

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Huo mwiko ulioko NYUMA tangu mwaka 35 unabadilishwagwa kweli? maana utakuwa unanuka kinyesi hatari...kama ni suala la ushoga hilo ni nyie vyura mliopewa maelekezo ya kwenda kuwapokea WANAUME toka sauzi na semaji lenu albino bila shaka utakuwa mstari wa mbele umevaa dera
Eti wivu..wivu my ass yaani niwaonee wivu watu miaka 4 wamepokea teams za kila aina hadi wamezisahau wako kama ma robot kial siku story zao ni vyumba kupuliziwa sumu
Rage akukosea kuwaita mbumbumbu maana unachokiandika kinaakisi akili yako ikoje, kuendelea kujibizana na wewe na mimi nitaonekana amnazo, ujui kitu kwenye mpira bali ni bendera fata upepo
 
Screenshot_2022-04-08-17-08-20.png
 
Rage akukosea kuwaita mbumbumbu maana unachokiandika kinaakisi akili yako ikoje, kuendelea kujibizana na wewe na mimi nitaonekana amnazo, ujui kitu kwenye mpira bali ni bendera fata upepo
kamati ya mapokezi mshapewa wito na sukule lenu kwenda kupokea wanaume wenu wa sauzi mkikumbushwa mnakasirika kazi mmeifanya kwa miaka 4 mbona ghafla mmekuwa wakali tena?
 
Rage akukosea kuwaita mbumbumbu maana unachokiandika kinaakisi akili yako ikoje, kuendelea kujibizana na wewe na mimi nitaonekana amnazo, ujui kitu kwenye mpira bali ni bendera fata upepo
akukosea [emoji777] . Hakukosea[emoji3581]
amnazo [emoji777] . Hamnazo[emoji3581]
 
akukosea [emoji777] . Hakukosea[emoji3581]
amnazo [emoji777] . Hamnazo[emoji3581]
Mkuu ukitaka kumjua shabiki wa utopolo anzia kwenye maandishi na uelewa wake, tulishaambiwa wenye akili pale ni wawili2 wengine wote ni vilaza kiranja wao Mkuu ni mwakalebela
 
Back
Top Bottom