KAKA NASOKI
Senior Member
- May 25, 2016
- 191
- 212
Je, hii kamati, huwa inapangiwa sehemu za kutembelea au wanajipangia?
Naona wanatembelea viwandani tu ambako waathirika ni watu chini ya 1,000, wakati masoko yote ni machafu kupidukia na inaathiri DSM nzima.
Waende soko la Stereo wakajionee na waipige faini manispaa ya Temeke hizo pesa wapewe wafanyabiashara.
Naona wanatembelea viwandani tu ambako waathirika ni watu chini ya 1,000, wakati masoko yote ni machafu kupidukia na inaathiri DSM nzima.
Waende soko la Stereo wakajionee na waipige faini manispaa ya Temeke hizo pesa wapewe wafanyabiashara.