wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
Hata wenyewe tifutifu waropokaji pia, na tena wakurupukaji. Kanuni ya kumuombea kucheza mchezaji wenye kadi 3 za njano imeishia wapi!!!Wanayanga nliwaulza kati ya Muro na Manara nani mropokaji hawajanjibu hadi leo. Jibu limetolewa na tff basi inatosha
alisemaje??
siwapendi waropokaji
hivi jamani adhabu ya TFF Kwa msemaji wa Young Africans sports club ni sahihi? naomba kujua!
Makosa yapo na yataendelea kuwepo. Kwa nini wanaendekeza zaidi faini kubwa kubwa badala ya kumfungia mhusika kwa muda fulani kujihusisha na mpira? Inaelekea lengo lao kubwa si kurekebisha bali kukusanya fedha tu.
Kiasi hicho ni kikubwa mno. Kuna vilabu vinafanya mambo ya ajabu wanapigwa faini ya laki tatu.