Kamati ya Olimpiki wanalamba asali

Kamati ya Olimpiki wanalamba asali

Gida na mzee wakibaha haziivi kabisa na gida huwa anamlaumu mzee kwa ufisadi.
Na kutokuwa na maendelo kwa wanariadha. Tafuta clip zake huwa anamchana live clouds
Gidabuday naye ni mwanaharakati tu hana lolote. Alikuwa katibu mkuu wa chama cha riadha na hakuna alilofanya. Mara ya mwisho niliona anataka udiwani kupitia CHADEMA. Sema Gidabuday na Bayi wanajuana sana. Wote wameishi USA kwa muda mrefu. Mtoto wa Gidabuday yuko timu ya taifa ya riadha ya USA.
 
Gidabuday naye ni mwanaharakati tu hana lolote. Alikuwa katibu mkuu wa chama cha riadha na hakuna alilofanya. Mara ya mwisho niliona anataka udiwani kupitia CHADEMA. Sema Gidabuday na Bayi wanajuana sana. Wote wameishi USA kwa muda mrefu. Mtoto wa Gidabuday yuko timu ya taifa ya riadha ya USA.
Kumbe gida MTU mzima? Ile kuongea kwa jazba vile nikajua yank tu
 
Back
Top Bottom