Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gida hajawekwa mfukoni na Mzee wa Kibaha?Muarobain ni kumuweka Wilhelm Gidabuday
Gida na mzee wakibaha haziivi kabisa na gida huwa anamlaumu mzee kwa ufisadi.Gida hajawekwa mfukoni na Mzee wa Kibaha?
Gidabuday naye ni mwanaharakati tu hana lolote. Alikuwa katibu mkuu wa chama cha riadha na hakuna alilofanya. Mara ya mwisho niliona anataka udiwani kupitia CHADEMA. Sema Gidabuday na Bayi wanajuana sana. Wote wameishi USA kwa muda mrefu. Mtoto wa Gidabuday yuko timu ya taifa ya riadha ya USA.Gida na mzee wakibaha haziivi kabisa na gida huwa anamlaumu mzee kwa ufisadi.
Na kutokuwa na maendelo kwa wanariadha. Tafuta clip zake huwa anamchana live clouds
Namkubali sana huyu jamaa. Alikosoa mwenendo wa chama cha riadha 2019 na kuweka rehani (kuahidi kuvichana ) vyeti vyake.Muarobain ni kumuweka Wilhelm Gidabuday
Kumbe gida MTU mzima? Ile kuongea kwa jazba vile nikajua yank tuGidabuday naye ni mwanaharakati tu hana lolote. Alikuwa katibu mkuu wa chama cha riadha na hakuna alilofanya. Mara ya mwisho niliona anataka udiwani kupitia CHADEMA. Sema Gidabuday na Bayi wanajuana sana. Wote wameishi USA kwa muda mrefu. Mtoto wa Gidabuday yuko timu ya taifa ya riadha ya USA.
Tatizo hana vyeti. Labda angechana cheti cha kliniki.Namkubali sana huyu jamaa. Alikosoa mwenendo wa chama cha riadha 2019 na kuweka rehani (kuahidi kuvichana ) vyeti vyake.
Wanariadha wana miili mizuri.Kumbe gida MTU mzima? Ile kuongea kwa jazba vile nikajua yank tu
Na safari za nje kama kawaMiaka yote bila medali na wapo tu madarakani!!?