Kamati ya PAC yaibua madudu mradi wa REA, bilioni 7 zaongezwa kwenye mradi kinyume na utaratibu

Kamati ya PAC yaibua madudu mradi wa REA, bilioni 7 zaongezwa kwenye mradi kinyume na utaratibu

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Katikakati ya umeme inayoendelea nchini baadhi ya wabunge bungeni wamekuja juu baada ya kuona nchi inakuwa gizani mara kwa mara huku wenye viwanda wakifunga viwanda vyao kwa kukosa umeme wa uhakika katika uzalishaji.

Aidha kamati ya PAC imebaini kuwa baadhi ya mikataba ilyosaniwa na Tannesco awali ilikuwa ni bilioni 30 kusambaza umeme vijijini lakini kilichowashangaza ni kwamba baada ya watendaji wapya kukagua mikataba hiyo wameona kuwa mikataba hiyo ilikosewa kiwango cha pesa kilikuwa kidogo na wakaongeza ikawa bilion 37.

Hii imewatia wasiwasi wabunge wa kamati hiyo wamejiuliza kwanini pesa imeongezeka na imeongezeka kwa vigezo vipi jambo ambalo hawakupata majibu.

Wameshauri kamati maalumu iundwe ili kuchunguza kwanini waliongeza kiasi cha tsh bilion 7

Mbunge akichangia bungeni
 
Janu anafanya yake
Tatizo lenu hasa mwendazake masalia mna chuki binafsi na january, ina maana kama kila kitu kibaya kinafanywa naye, aliyemteua anaona, basi ndio mwenye matatizo!!nchi hii upigaji haukuwahi kuisha na hautakuja kuisha, kama watu, na mambo ni yaleyale miaka yote.
 
Tatizo lenu hasa mwendazake masalia mna chuki binafsi na january, ina maana kama kila kitu kibaya kinafanywa naye, aliyemteua anaona, basi ndio mwenye matatizo!!nchi hii upigaji haukuwahi kuisha na hautakuja kuisha, kama watu, na mambo ni yaleyale miaka yote.
Unawaza kwa kutumia masaburi, Mimi na mwendazake wapi na wapi?
Kwa hiyo bwana wako January akiguswa tu, hicho kinanilii kinaanza kupwitapwita?
Nitolee ujinga wako
 
Unawaza kwa kutumia masaburi, Mimi na mwendazake wapi na wapi?
Kwa hiyo bwana wako January akiguswa tu, hicho kinanilii kinaanza kupwitapwita?
Nitolee ujinga wako
Kinachezacheza aisee hao ukisema yanayohusu ubadhilifu wanawahi kusema mwendazake hata kama ulikuwa husifii serikali ya awamu ya tano iliyoyafanya hawataki kabisa kusemwa chochote
 
January ni zao la ikulu ya Jk na Dr lowasa uongezaji zero kwenye tarakimu zakifedha kwake sioshida ni utaratibu mkongwe aliokua nao .......ccm mbovu watendaji wabovu
 
Tatizo lenu hasa mwendazake masalia mna chuki binafsi na january, ina maana kama kila kitu kibaya kinafanywa naye, aliyemteua anaona, basi ndio mwenye matatizo!!nchi hii upigaji haukuwahi kuisha na hautakuja kuisha, kama watu, na mambo ni yaleyale miaka yote.
Sasa chuki kwa Makamba iko wapi hapo?

Unaelewa majukumu ya Makamba kweli?
 
Tatizo lenu hasa mwendazake masalia mna chuki binafsi na january, ina maana kama kila kitu kibaya kinafanywa naye, aliyemteua anaona, basi ndio mwenye matatizo!!nchi hii upigaji haukuwahi kuisha na hautakuja kuisha, kama watu, na mambo ni yaleyale miaka yote.
Sijaelewa
 
Tatizo lenu hasa mwendazake masalia mna chuki binafsi na january, ina maana kama kila kitu kibaya kinafanywa naye, aliyemteua anaona, basi ndio mwenye matatizo!!nchi hii upigaji haukuwahi kuisha na hautakuja kuisha, kama watu, na mambo ni yaleyale miaka yote.
Tatizo la mwendazake masalia ni lipi kama wamenusa upigaji na unathibitisha uwepo wa upigaji?
 
Tatizo la mwendazake masalia ni lipi kama wamenusa upigaji na unathibitisha uwepo wa upigaji?
Shida yao, hasa ni waziri wa nishati, toka kalemani aondolewe, wanaona kama makamba ndio tatizo, wakati kama ni tatizo basi ni aliyemteua, na sio wizara hiyo tu, kote ni yale yale tu., kwa ccm upigaji hauwezi kuisha kamwe.
 
Kuna mambo yanasikitisha sana, wanakula kwa urefu wa kamba zao...
 
Back
Top Bottom