pc20
Member
- May 28, 2016
- 24
- 10
Kamati ya Uchaguzi ya kablu ya Yanga leo imetengaza tarehe rasmi ya uchaguzi wa klabu hiyo kuwa Juni 11,huku ikisisitiza TFF na BMT wakae kama waangalizi katika uchaguzi huo.
Akiongea na Waandishi wa habari mapema leo jijini Dar es Salaam Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga Baraka Deus amesema kuwa kuwa awataki maslai ya timu hiyo yasimamiwe na watu walionje ya timu hiyo. Habari kamili iko=> Kamati ya uchaguzi ya Klabu ya Yanga yatangaza tarehe ya uchaguzi, zaidi bofya hapa | Mikoa Yetu
Akiongea na Waandishi wa habari mapema leo jijini Dar es Salaam Katibu Mkuu wa klabu ya Yanga Baraka Deus amesema kuwa kuwa awataki maslai ya timu hiyo yasimamiwe na watu walionje ya timu hiyo. Habari kamili iko=> Kamati ya uchaguzi ya Klabu ya Yanga yatangaza tarehe ya uchaguzi, zaidi bofya hapa | Mikoa Yetu