Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezindua Kamati ya Wataalamu ya Uchunguzi wa Jengo lililoporomoka katika eneo la Kariakoo ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Rais Samia ya kuchunguza chanzo cha tukio hilo pamoja na kufahamu ubora na uimara wa majengo yote yaliyoko Kariakoo.
Pia, Soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa
Novemba 16, 2024, majira ya saa 3 asubuhi, ilitokea ajali ya kuporomoka kwa jengo la takribani ghorofa tatu lililopo Mtaa wa Agrey, Kata ya Kariakoo Jijini Dar es Salaam na kusababisha athari kubwa kwa watu na mali katika eneo hilo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezindua Kamati ya Wataalamu ya Uchunguzi wa Jengo lililoporomoka katika eneo la Kariakoo ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Rais Samia ya kuchunguza chanzo cha tukio hilo pamoja na kufahamu ubora na uimara wa majengo yote yaliyoko Kariakoo.
Pia, Soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa
Novemba 16, 2024, majira ya saa 3 asubuhi, ilitokea ajali ya kuporomoka kwa jengo la takribani ghorofa tatu lililopo Mtaa wa Agrey, Kata ya Kariakoo Jijini Dar es Salaam na kusababisha athari kubwa kwa watu na mali katika eneo hilo.