Kamati ya Uchunguzi kuporomoka kwa jengo Kariakoo yazinduliwa

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Your browser is not able to display this video.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezindua Kamati ya Wataalamu ya Uchunguzi wa Jengo lililoporomoka katika eneo la Kariakoo ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Rais Samia ya kuchunguza chanzo cha tukio hilo pamoja na kufahamu ubora na uimara wa majengo yote yaliyoko Kariakoo.

Pia, Soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Novemba 16, 2024, majira ya saa 3 asubuhi, ilitokea ajali ya kuporomoka kwa jengo la takribani ghorofa tatu lililopo Mtaa wa Agrey, Kata ya Kariakoo Jijini Dar es Salaam na kusababisha athari kubwa kwa watu na mali katika eneo hilo.
 
Andika hapo hii n Kodi ya watanzania unaenda kuliwa na wachache Kwa njia ya kamati wkt ukweli unajulikana chanzo nn kimedondosha gorofaaa....

Ni huzunii
 
Andikaa hapo HAKI watanzania wanachezewa Sanaa na CCM...
 
Tutasikia mengi kwenye kamati hii mana Kariakoo ni kitovu cha maovu Tanzania nzima
 

Serious? 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Watu wamelamba asali huku wakisema "kazi iendelee" mwisho wa siku hakuna ripoti imetoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…