PROSPER 05
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 226
- 217
Baada ya Stand United na Simba kuvaa jezi zinazolalamikiwa kufanana wakati wa mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliochezwa jana Jumapili, October 1, 2017 kwenye uwanja wa Kambarage, ShaffihDauda.co.tz imefanya utafiti kwa nini timu hizo ziliruhusiwa kucheza huku jezi zao zikiwa zinafanana kwa rangi.
Taarifa ambazo ShaffihDauda.co.tz imezipata kutoka vyanzo tofauti ni kwamba, Simba hawakuwa tayari kuvaa jezi zao za ugenini (nyeupe) kutokana na maagizo ya ‘kamati ya ufundi’. Ikabidi kamishna wa mchezo akubali Simba watumie jezi nyekundu kwa sababu jezi za Stand United ni rangi ya machungwa wakiamini zisingewasumbua waamuzi.
Taarifa ambazo ShaffihDauda.co.tz imezipata kutoka vyanzo tofauti ni kwamba, Simba hawakuwa tayari kuvaa jezi zao za ugenini (nyeupe) kutokana na maagizo ya ‘kamati ya ufundi’. Ikabidi kamishna wa mchezo akubali Simba watumie jezi nyekundu kwa sababu jezi za Stand United ni rangi ya machungwa wakiamini zisingewasumbua waamuzi.