Tetesi: Kamavinga kutunukiwa Ballon d'Or 2024

Tetesi: Kamavinga kutunukiwa Ballon d'Or 2024

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Kiungo hatari mkabaji na mshambuliaji wa timu ya mpira iliyotwaa la Liga na UEFA CL Real Madrid, raia wa ufaransa mwenye asili ya Angola Eduardo Camavinga huenda akatunukiwa Na FIFA tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2024 Ballon d'Or.

Hizi ni duru za uhakika nimepenyezewa na wadau wangu wa karibu kabisa wanaofanya kazi FIFA uswisi.

Endapo kiungo huyu wa kipekee atanukiwa tuzo hiyo ya juu kwenye mpira itatuletea sifa na fahari kubwa sana watu weusi.

Mcheki mwamba hapo chini.

20240605_090351.jpg
 
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Kiungo hatari mkabaji na mshambuliaji wa timu ya mpira iliyotwaa la Liga na UEFA CL Real Madrid, raia wa ufaransa mwenye asili ya Angola Eduardo Camavinga huenda akatunukiwa Na FIFA tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2024 Ballon d'Or.

Hizi ni duru za uhakika nimepenyezewa na wadau wangu wa karibu kabisa wanaofanya kazi FIFA uswisi.

Endapo kiungo huyu wa kipekee atanukiwa tuzo hiyo ya juu kwenye mpira itatuletea sifa na fahari kubwa sana watu weusi.

Mcheki mwamba hapo chini.

View attachment 3009041
siyo rahisi
labda kati ya Luca na Vin Jr
 
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Kiungo hatari mkabaji na mshambuliaji wa timu ya mpira iliyotwaa la Liga na UEFA CL Real Madrid, raia wa ufaransa mwenye asili ya Angola Eduardo Camavinga huenda akatunukiwa Na FIFA tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2024 Ballon d'Or.

Hizi ni duru za uhakika nimepenyezewa na wadau wangu wa karibu kabisa wanaofanya kazi FIFA uswisi.

Endapo kiungo huyu wa kipekee atanukiwa tuzo hiyo ya juu kwenye mpira itatuletea sifa na fahari kubwa sana watu weusi.

Mcheki mwamba hapo chini.

View attachment 3009041
Ballon d'Or sidhan kama inatolewa na FIFA
 
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Kiungo hatari mkabaji na mshambuliaji wa timu ya mpira iliyotwaa la Liga na UEFA CL Real Madrid, raia wa ufaransa mwenye asili ya Angola Eduardo Camavinga huenda akatunukiwa Na FIFA tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2024 Ballon d'Or.

Hizi ni duru za uhakika nimepenyezewa na wadau wangu wa karibu kabisa wanaofanya kazi FIFA uswisi.

Endapo kiungo huyu wa kipekee atanukiwa tuzo hiyo ya juu kwenye mpira itatuletea sifa na fahari kubwa sana watu weusi.

Mcheki mwamba hapo chini.

View attachment 3009041
Nipo hapa, ila mwaka huu sio wangu bado. Mtanizingatia misimu ijayo
 
Mmhh mbona sijamuona hata katika top 5 ya wanaowania hiyo Tuzo, walioko top 5 ni Vinicius Jr, Jude Bellingham, Kylian Mbappe, Erling Haaland, na Phil Foden kama sikosei, na wenyewe wanasema mwenye chance kubwa ya kushinda hiyo mwaka huu ni Vini
 
Mkumbuke kuna Euro na Copa America.

Upepo unaweza kubadilika muda wowote msiweke matarajio makubwa kwa hao vijana wenu.

Baadae mkaanza kuwatukana watoa tuzo.
 
Back
Top Bottom