Tetesi: Kambaya kutimkia CCM?

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,252
Reaction score
8,003
Kwa tabia anayoionesha huyu bwana mdogo kuna kila aina ya dalili za kutimkia CCM.Amekua mtetezi mkubwa wa serikali na Chama tawala kuliko hata Chama anachoking'ang'ania kwa sasa.
Ameanzisha mapambano na vijana wenzie wa chama chake na vyama viingine vya upinzani kitu ambacho ni hatari sana inatia shaka sana aina ya upinzani wake kwa sasa.


Muda utasema, naweka akiba ya maneno.
 
Anatumikia posho, ikiisha akili itamkaa sawa kama baba yake.
 
kama huitetei serikali yako inapotenda jema utaitetea serikLi gani wewe?au wewe ni mmojawapo wanaowasujudia watu Wa magharibi??
 
Anahisabu namba huyo maana keshapingwa na chini halijui alisemalo cuf hawana haja na msaliti
 
ngoja niwashe redio mkulima nisikilize RTD(Radio Tanzania Dar es salaam)..labda kuna mapya tofauti na haya..
 
Inabidi arejee huko kwani mikakati na mbinu zao chafu zimegonga mwamba hivyo atakuwa hana kwa kwenda zaidi ya kuelekea kwa wachawi wenza yaani CCM.
 
kama huitetei serikali yako inapotenda jema utaitetea serikLi gani wewe?au wewe ni mmojawapo wanaowasujudia watu Wa magharibi??
serikali ya magharibi imeingia hapa wewe kunguru? chuki tu zimekujaa
 
Bavicha mnarahisisha kazi ya kuvunja ukawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…