MUTUYAMUNGU
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,825
- 4,374
Nimemsikia bila aibu asubuhi hii akiwa Radio One akitetea mabasi yote yaanzie Mbezi/ Magufuli bus terminal bila kujali mateso wanayopata abiria wa mbali.
Hivi Kambaya basi likianzia Kigamboni na abiria 10 likapitia Mbezi stendi likajaza abiria na kulipa ushuru wa stendi kisha likaendelea na safari kuna ubaya?
Hivi Kambaya basi limetoka Mbeya ila wana yard Tandika likishusha abiria Mbezi stendi kisha wanaobaki wakaenda kushukia Tandika kuna ubaya?
Kambaya umewahi kusafiri na mizigo pamoja na watoto wadogo?
Kambaya vipi kuhusu abiria wa Bunju na mabasi yanayopita Bagamoyo Road?
Tukutane baadaye ITV kwenye kipima joto na ole wako unikatishe kuongea au uninyang'anye mic!
Hivi Kambaya basi likianzia Kigamboni na abiria 10 likapitia Mbezi stendi likajaza abiria na kulipa ushuru wa stendi kisha likaendelea na safari kuna ubaya?
Hivi Kambaya basi limetoka Mbeya ila wana yard Tandika likishusha abiria Mbezi stendi kisha wanaobaki wakaenda kushukia Tandika kuna ubaya?
Kambaya umewahi kusafiri na mizigo pamoja na watoto wadogo?
Kambaya vipi kuhusu abiria wa Bunju na mabasi yanayopita Bagamoyo Road?
Tukutane baadaye ITV kwenye kipima joto na ole wako unikatishe kuongea au uninyang'anye mic!