Mngoreme wa pili
Member
- Feb 22, 2024
- 10
- 10
Nimefika katika kijiji Cha Chumbi kushuhudia athari za mafuriko katika maeneo hayo na namna wananchi wanavyohudumiwa.
Nimeangalia mazingira ya walipowekwa ni kama Serikali imefabya kuondoa lawama Kwa kuwa eneo la Kambi Mvua ikinyesha Bado maji yataingia ndani ya Kambi husika
Mazingira ya vyoo si rafiki na vilivyopo Kuna vyoo vinne vya mapipa na vyote vimejaa.
Isipofanyika jitihada za haraka kurekebisha Hali hiyo kunaweza kuwa na magonjwa ya milipuko itakayoathiri watu zaidi ya mafuriko yenyewe
Nimeangalia mazingira ya walipowekwa ni kama Serikali imefabya kuondoa lawama Kwa kuwa eneo la Kambi Mvua ikinyesha Bado maji yataingia ndani ya Kambi husika
Mazingira ya vyoo si rafiki na vilivyopo Kuna vyoo vinne vya mapipa na vyote vimejaa.
Isipofanyika jitihada za haraka kurekebisha Hali hiyo kunaweza kuwa na magonjwa ya milipuko itakayoathiri watu zaidi ya mafuriko yenyewe