ubuntuX
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 1,977
- 2,200
wakuu
hapo jana timu ya taifa, Taifa stars ilikwea pipa na kuelekea nchini Misri kwaajili ya maandalizi dhidi ya Letheto
mechi itakayochezwa Jijin Dar es salaam kuwania kufuzu AFCON 2019
kiukweli kwa jinsi timu yetu ilivyo kichwa cha mwendawazimu, kuipeleka Egypt kwa pesa za watanzania ni ufujaji wa pesa na matumizi yasiyolazima!
kwani tanzania yote hii ilivyokubwa haina sehemu tulivu kwaajili ya kambi waweze kutulia na kujiandaa vema?
nipende kuwaambia TFF kuwa uwendawazimu wa Taifa stars hauwezi ondokana na kuweka kambi ya gharama kubwa nje ya nchi, zaidi timu inahitaji hali kimchezo
wakae hapa hapa Tanzania kuna maeneo murua kabisa kama vile Zanzibar nk
huko mmewapeleka gharama za hotel, chakula na usafiri nje ya nchi kwa kikosi cha zaidi ya watu 20 sio matumiz sahihi
then badae mtaanza kupitisha bakuli
au mnajitanua na chenji zilizobakizwa na Serengeti boys?
Kwa sasa nguvu yetu watanzania tuwekeze katika soka la vijana, hii taifa stars haitufikushi popote zaidi ya kutuongezea pressure tu
hapo jana timu ya taifa, Taifa stars ilikwea pipa na kuelekea nchini Misri kwaajili ya maandalizi dhidi ya Letheto
mechi itakayochezwa Jijin Dar es salaam kuwania kufuzu AFCON 2019
kiukweli kwa jinsi timu yetu ilivyo kichwa cha mwendawazimu, kuipeleka Egypt kwa pesa za watanzania ni ufujaji wa pesa na matumizi yasiyolazima!
kwani tanzania yote hii ilivyokubwa haina sehemu tulivu kwaajili ya kambi waweze kutulia na kujiandaa vema?
nipende kuwaambia TFF kuwa uwendawazimu wa Taifa stars hauwezi ondokana na kuweka kambi ya gharama kubwa nje ya nchi, zaidi timu inahitaji hali kimchezo
wakae hapa hapa Tanzania kuna maeneo murua kabisa kama vile Zanzibar nk
huko mmewapeleka gharama za hotel, chakula na usafiri nje ya nchi kwa kikosi cha zaidi ya watu 20 sio matumiz sahihi
then badae mtaanza kupitisha bakuli
au mnajitanua na chenji zilizobakizwa na Serengeti boys?
Kwa sasa nguvu yetu watanzania tuwekeze katika soka la vijana, hii taifa stars haitufikushi popote zaidi ya kutuongezea pressure tu