Huyo Kambole ulimuona wapi akicheza?Mimi ni mshabiki saana wa mayele ila ukweli usemwa kinacho mbeba mayele ni sifa tu lakini uwezo bado saana
Kama yanga walifikia uku yeye ndo chanzo
Ile mechi ya kwanza cheki nafasi alizo kosa
Na sio zile tu
Mayele ana uwezo wa kupata clear chance 7 ndani ya mechi moja akafunga moja tu
Ila na amini yule kambole yanga wangelimtengeneza vizuri na kumtengeneza vizuri na amini angelikuwa namba 9 bora tu
Sio kambole tu ata yule dogo yusuph ndani yake kuna kitu sema tu ndo ivo ila mayele kwa mpira wake ule ata tucost saana uko mbeleni
Si tulikubaliana kwamba mayele na aziz ki walisajiliwa sababu ya kuifunga simba? Subiri tarehe 23 watafunga hat triki mbiliMimi ni mshabiki saana wa mayele ila ukweli usemwa kinacho mbeba mayele ni sifa tu lakini uwezo bado saana
Kama yanga walifikia uku yeye ndo chanzo
Ile mechi ya kwanza cheki nafasi alizo kosa
Na sio zile tu
Mayele ana uwezo wa kupata clear chance 7 ndani ya mechi moja akafunga moja tu
Ila na amini yule kambole yanga wangelimtengeneza vizuri na kumtengeneza vizuri na amini angelikuwa namba 9 bora tu
Sio kambole tu ata yule dogo yusuph ndani yake kuna kitu sema tu ndo ivo ila mayele kwa mpira wake ule ata tucost saana uko mbeleni
Nimefukua nyuzi zake za nyuma,huyu jamaa anashida pahala,au ule usemi wa chiz karogwa tena??!!,hakika uko utopolon wenye akili ni wawili tuWe si ndo ulikuwa unajaza nyuzi humu za kumsifia Mayele na kudai atapiga hat trick, mara hii humtaki tena[emoji2][emoji2][emoji2]. Fanyeni uchawi tarehe 23 mshinde, vinginevyo naona mtatoana damu. Safari ya shirikisho itaishia Tunis.
Nimefukua nyuzi zake za nyuma,huyu jamaa anashida pahala,au ule usemi wa chiz karogwa tena??!!,hakika uko utopolon wenye akili ni wawili tu
Kambole tupe records zakeMimi ni mshabiki saana wa mayele ila ukweli usemwa kinacho mbeba mayele ni sifa tu lakini uwezo bado saana.
Kama yanga walifikia uku yeye ndo chanzo. Ile mechi ya kwanza cheki nafasi alizo kosa. Na sio zile tu.
Mayele ana uwezo wa kupata clear chance 7 ndani ya mechi moja akafunga moja tu
Ila na amini yule kambole yanga wangelimtengeneza vizuri na kumtengeneza vizuri na amini angelikuwa namba 9 bora tu
Sio kambole tu ata yule dogo yusuph ndani yake kuna kitu sema tu ndo ivo ila mayele kwa mpira wake ule ata tucost saana uko mbeleni
wamekuwa watatu sasa JK, sunday, na mtikila MMMJamaa alipatia sana. Kule wenye akili ni wawili tu. Naona kuna mwingine kaongezeka, alikuwa anamparura mtu wa digital huko twitter.
Kwani ngushi ana shida gani si wamuanzishe tu yeyeMimi ni mshabiki sana wa Mayele ila ukweli husemwa, kinachombeba Mayele ni sifa tu lakini uwezo bado sana. Kama Yanga walifikia huku yeye ndiyo chanzo. Ile mechi ya kwanza angalia nafasi alizokosa, na siyo zile tu.
Mayele ana uwezo wa kupata nafasi safi 7 ndani ya mechi moja akafunga moja tu! Ila naamini yule Kambole Yanga wangelimtengeneza vizuri, na kumtengeneza vizuri naamini angelikuwa namba 9 bora tu.
Siyo Kambole tu, hata yule dogo Yusuph, ndani yake kuna kitu sema tu ndiyo hivyo. Ila Mayele kwa mpira wake ule atatugharimu sana huko mbeleni.
Yanga watanzania kuna mashabiki mazuzu sana yaani mayele anaonekana mchezaji kwasababu aliwafunga simba na mashabiki wa utopolo huwaambii kitu hata kisinda yule hakupaswa kurudi sema tu kwasababu alisababisha penalty mechi ya simba hapo ndo tunasema soka letu kivyetu vyetuWatu wanashindwa kuelewa kuwa Mayele ukiachana na ule u selfish wa kutaka kufunga hata katika position isiyowezekana wanabidi wafahamu pia kuwa katika nafasi 9 za wazi atafunga 1
Ukiona amepiga hattrick tafsiri yake alikuwa na possibility ya kufunga zaidi ya hapo ila watu hawajadili zile nafasi alizoshindwa kwasbabu ya kudili na matokeo ya mwisho.
Katika hii season ambayo Yanga amepangwa playoff na Club Africain huwezi amini bado Yanga wana amini mechi yao muhimu ni Derby
Hahaaaahaa yani hadi hurumaMayele mayele ni yule yule jana,leo na hata milele...View attachment 2391504
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hiyo derby ni mechi yao kubwa maishani kuliko mechi nyingine yoyote ile wanayocheza kwenye msimu mzima.Watu wanashindwa kuelewa kuwa Mayele ukiachana na ule u selfish wa kutaka kufunga hata katika position isiyowezekana wanabidi wafahamu pia kuwa katika nafasi 9 za wazi atafunga 1
Ukiona amepiga hattrick tafsiri yake alikuwa na possibility ya kufunga zaidi ya hapo ila watu hawajadili zile nafasi alizoshindwa kwasbabu ya kudili na matokeo ya mwisho.
Katika hii season ambayo Yanga amepangwa playoff na Club Africain huwezi amini bado Yanga wana amini mechi yao muhimu ni Derby