Kamera, Kimera, Kamari na Kukamula!


Tanzania na watanzania wote tulishalogwa muda mrefu uliopita na sasa tumekuwa mazezeta. Upuuzi wote unaotokea ndani ya nchi watu tuko kimya na kuendelea kupiga domo kila siku. Hakuna cha maandamano ya kupinga na kukataa uchafu huo. China, korea na Urusi wanafanya maandamano ya kupinga upuuzi na uchafu unapotokea nchini kwao. Sisi watanzania mlogo umetupata kisawasawa, hatuoni wala kusikia. Kila kitu hewara ama rukhusa.
 
Hivi kweli hapa JF watu wamesahau SPIN za SISIEMU na Serikali yake. Spika ni yuleyule SISIEMU ambayo ni The Mother of All The Spin Mothers. Yaani sometimes hawa viongozi wawe wanafikiria kwanza kabla ya kuanza kuuadaa UMMA. Eti alikuwa anatafuta seat, Shut the hole. Kama alikuwa anatafuta seat, sasa alikuwa anataka mpaka seat ya SPIKA. Jamani sasa kutakuwa na Spika wangapi kwa mujibu wa sheria? Mie siamini kama Chenge yuko kwenye flow hata ya Kukaimu USPIKA kama Mama Makinda hayupo. Haya mambo Spika angekwenda kuwasimulia watoto wake walio chekechea kama anao na si watanzania wenye akili TIMAMU, ndiyo nimesema WATANZANIA wenye AKILI TIMAMU.
 

Wah. Anna Abdallah and Lekule wamesema walikuwepo na hawakuona huo "uchawi" unozungumziwa - Source, Nipashe/Alasiri
 
Some thing must be fishing in our House az SS with others Mps, kuna vita vita kubwa sana ndani ya bunge inayoendelea bunge litatulia siku utakapo sikia SS kapigiwa kura ya kutokuwa na imani na wabunge az the revenge !kitu mbacho kwa sasa ndiokinachopikwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…