Hiyo fungua museum,mi nilikuwa na yangu hata laki nimekosa.Nikon kali.
Watu wamehamia digitali
Kamera za film (sio digital) zipo sokoni. Pamoja na kamera kuna pia flash na mifuko ya kubebea camera. Anayehitaji tafadhali ani pm.
Wakati wa krisimasp ya mwaka 2003 nilipiga picha kutumia kamera ya film nikawa sikuzisfaisha picha zile kwa muda wa karibu mmwaka mzima na baadaye mwaka 2005 niliojaribu kutafuta namna ya kzisafisha ikaonekana kuwa gharama ilikuwa ni kubwa sana kwa vile situo zote hazikuwa na madawa na karasti zinazotakiwa labda nmilipie gharama ya madawa na karatasi kantoni nzima kusudi wafanya spesho order!
Kichuguu unamaanisha nini?
Hapa tunazungumzia manunuzi ya kamera ya bwana mdogo hapo juu!
Hiyo fungua museum,mi nilikuwa na yangu hata laki nimekosa.Nikon kali.
Watu wamehamia digitali
Sasa kama ulikosa laki si ungejaribu 50,000/= au unangoja miaka ipite ili hata elfu tano ukose ?,