huko kwenu vipi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 1,520
- 1,462
Habarini za asubuhi wanajamvi....
Mimi ni mfanyabiashara wa biashara ya mitandao ya kifedha kama vile M-pesa,halopesa,tigo pesa na Airtel money..
Lakini nizungumzie kidogo kwenye mitandao ya kifedha ya M-pesa na Halopesa....
Baada ya kulipwa Kamisheni(M-pesa) kuanzia tarehe 1 hadi kwenye tareh 17 hivi Kamisheni inakuwa inapanda kwa kasi baada ya tarehe hizo hadi tarehe 31 yaan kiasi kinachoongezeka kwenye Kamisheni ni kidogo sana miamala ni ile ile kwanini?
Au ni kwangu tu
Je Kama ni kwangu tu nakwama wap?
Kamisheni yangu tarehe inakuwa nzuri kweli kweli lakin kadiri navyoelekea mwisho wa mwezi mambo yanabadilika,
Wafanyabiashara wenzangu na ninyi huwa mnaona hili?
Mtandao wa halopesa ni kabisa sionagi kitu najikuta kwa mwezi napokea 20,000 kushuka chini na nimefanya utafiti hata mjini wanapokea kamisheni ndogo sana,
Tunakwama WAP kwa mtandao huu wa Halopesa?
Mimi ni mfanyabiashara wa biashara ya mitandao ya kifedha kama vile M-pesa,halopesa,tigo pesa na Airtel money..
Lakini nizungumzie kidogo kwenye mitandao ya kifedha ya M-pesa na Halopesa....
Baada ya kulipwa Kamisheni(M-pesa) kuanzia tarehe 1 hadi kwenye tareh 17 hivi Kamisheni inakuwa inapanda kwa kasi baada ya tarehe hizo hadi tarehe 31 yaan kiasi kinachoongezeka kwenye Kamisheni ni kidogo sana miamala ni ile ile kwanini?
Au ni kwangu tu
Je Kama ni kwangu tu nakwama wap?
Kamisheni yangu tarehe inakuwa nzuri kweli kweli lakin kadiri navyoelekea mwisho wa mwezi mambo yanabadilika,
Wafanyabiashara wenzangu na ninyi huwa mnaona hili?
Mtandao wa halopesa ni kabisa sionagi kitu najikuta kwa mwezi napokea 20,000 kushuka chini na nimefanya utafiti hata mjini wanapokea kamisheni ndogo sana,
Tunakwama WAP kwa mtandao huu wa Halopesa?