REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Niende moja kwa moja kwenye mada nikiwa kama mzazi na mwana jamii nilifurahi sana kuona Serikali inatoa pesa za kwenda kujenga madarasa nchi nzima ili mwakani watoto wote watakaochaguliwa wapate nafasi ya kwenda kuanza kidato cha kwanza
Pia nilifurahi kuona ujenzi wa madarasa haya wanatumika mafundi wa mtaani ambao si makandarasi lengo kuu kupunguza gharama za ujenzi kwani hawa mafundi gharama zao kuwa ndogo kwa sababu hawana Kodi na nimafundi ambao wanazunguka maeneo husika kwaiyo hata bei zao huwa chini
Kilichonishangaza tangu majuzi mafundi wamekimbia ujenzi kwa kile wanachodai wao wakati wanafunga mikataba hawakuambiwa watakatwa Kodi asilimia mbili katika malipo yao hivyo kutokana na kupatanisha kazi kwa bei ndogo kumeathiri ulipaji wa vibarua wao kwa hiyo bora waende wakajenge kwa mzee Msiriri ambako jioni ikifika anaondoka na chake siyo hizi kazi ambapo awali walikuwa hawakatwi hii Kodi
Nikastuka nikafutilia nimeambiwa ni agizo kutoka TRA, Sasa unawaza hawa TRA wameibukia wapi muda huu kama wanataka Kodi Serikali ingeruhusu makandarasi wachukue hizi kazi siyo hawa mafundi wa mtaani sababu tayari wameipiga hesabu kazi atafanya kwa muda gani na atapata faida gani leo hii ukimkata hata elfu hamsini tayalri umemuingiza kwenye mgororo na wasaidizi wake wa kazi matokeo yake ndio kesi mnaanza ziona kwa Mkuu wa Wilaya vijana wanalalanika hawajalipwa na fundi sababu fundi anaona hesabu haimlipi anaamua kukimbia
MY TAKE
Kama Serikali inataka kazi ya ujenzi wa haya madarasa iishe kwa wakati waondoke hii Kodi kwa hawa mafundi watazidi kukimbia kazi Serikali itaingia hasara sababu washafunga mikataba, mngewambia mapema kutakuwa na kodi wangejua wanajipangaje.
UPDATE
Hongera serikali kwa kuona ujumbe huu na Jana usiku kuagiza halmashauri zote zisitishe hili zoezi la ukataji Kodi kwa hawa mafundi mpaka mtakapotoa maelekezo mapya.
Ushauri wetu hakuna haja ya hawa mafundi wakatwe Kodi walipwe pesa zao Kodi wataenda kutana nazo kwenye mihamala ya sm na bidhaa uko.
Pia nilifurahi kuona ujenzi wa madarasa haya wanatumika mafundi wa mtaani ambao si makandarasi lengo kuu kupunguza gharama za ujenzi kwani hawa mafundi gharama zao kuwa ndogo kwa sababu hawana Kodi na nimafundi ambao wanazunguka maeneo husika kwaiyo hata bei zao huwa chini
Kilichonishangaza tangu majuzi mafundi wamekimbia ujenzi kwa kile wanachodai wao wakati wanafunga mikataba hawakuambiwa watakatwa Kodi asilimia mbili katika malipo yao hivyo kutokana na kupatanisha kazi kwa bei ndogo kumeathiri ulipaji wa vibarua wao kwa hiyo bora waende wakajenge kwa mzee Msiriri ambako jioni ikifika anaondoka na chake siyo hizi kazi ambapo awali walikuwa hawakatwi hii Kodi
Nikastuka nikafutilia nimeambiwa ni agizo kutoka TRA, Sasa unawaza hawa TRA wameibukia wapi muda huu kama wanataka Kodi Serikali ingeruhusu makandarasi wachukue hizi kazi siyo hawa mafundi wa mtaani sababu tayari wameipiga hesabu kazi atafanya kwa muda gani na atapata faida gani leo hii ukimkata hata elfu hamsini tayalri umemuingiza kwenye mgororo na wasaidizi wake wa kazi matokeo yake ndio kesi mnaanza ziona kwa Mkuu wa Wilaya vijana wanalalanika hawajalipwa na fundi sababu fundi anaona hesabu haimlipi anaamua kukimbia
MY TAKE
Kama Serikali inataka kazi ya ujenzi wa haya madarasa iishe kwa wakati waondoke hii Kodi kwa hawa mafundi watazidi kukimbia kazi Serikali itaingia hasara sababu washafunga mikataba, mngewambia mapema kutakuwa na kodi wangejua wanajipangaje.
UPDATE
Hongera serikali kwa kuona ujumbe huu na Jana usiku kuagiza halmashauri zote zisitishe hili zoezi la ukataji Kodi kwa hawa mafundi mpaka mtakapotoa maelekezo mapya.
Ushauri wetu hakuna haja ya hawa mafundi wakatwe Kodi walipwe pesa zao Kodi wataenda kutana nazo kwenye mihamala ya sm na bidhaa uko.