Kamishina TRA, Mkurugenzi Bandari watembelea Bandari ya Tanga

Kamishina TRA, Mkurugenzi Bandari watembelea Bandari ya Tanga

Blasio Kachuchu

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
366
Reaction score
243

KAMISHINA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda akiambatana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Prasduce Mbossa Agosti 26, 2024 wametembelea bandari ya Tanga.
Kamishna Mkuu na Mkurugenzi Mkuu wamekubaliana kushirikiana kwa ukaribu zaidi ili kuongeza ufanisi kwenye shughuli za bandari na forodha zitakazo ongeza mapato ya serikali.





 
Huyo Mkurugenzi wa wa bandari anaongoza bandari zipi?
 
Back
Top Bottom