Kamishina wa uhamiaji Z'bar adaiwa 'mweupe'
Imeandikwa na Stella Nyemenohi; Tarehe: 20th April 2009 @ 08:22 Imesomwa na watu: 385; Jumla ya maoni: 4
MAONI YANGU KWA HABARI HIYO🙄
Huyo kamishana ana matatizo kwani mke wake kamamuweka awe ndio icharge wa zanzibr airpor. na kimada wake jina linanzia na MW... mwenye elimu ya kidato cha sita amemuweka awe incharge wa kitengo cha permits ( resident permit) na na watoto wake na jamaa zake wote amewafanya wakuu vitengo vilivyopo hapa zanzibar uhamiaji.
HATA IWEJE HAIWEZEKANI MTU ASIYE NA ELIMU KUTOSHA KUSHIKA WAZIFA MKUBWA KWENYE IDARA NYETI KAMA UHAMIAJI HASWA KATIKA MASWALA YA YOTE WAWEKEZAJI WANAOINGIA NA WANAOTAKA KUINGIA KWA AJILI YA UWEKEZAJI NA UTALII VITU AMBAVYO VINAIPA SERIKALI FEDHA ZA KIGENI.
hivi kwa dunia yetu hii ya sayansi na technoligi mtu mweupe na asiye na kitu kichwani ataweza kwenda na kasi mpya na nguvu mpya?.
Imeandikwa na Stella Nyemenohi; Tarehe: 20th April 2009 @ 08:22 Imesomwa na watu: 385; Jumla ya maoni: 4
MAONI YANGU KWA HABARI HIYO🙄
Huyo kamishana ana matatizo kwani mke wake kamamuweka awe ndio icharge wa zanzibr airpor. na kimada wake jina linanzia na MW... mwenye elimu ya kidato cha sita amemuweka awe incharge wa kitengo cha permits ( resident permit) na na watoto wake na jamaa zake wote amewafanya wakuu vitengo vilivyopo hapa zanzibar uhamiaji.
HATA IWEJE HAIWEZEKANI MTU ASIYE NA ELIMU KUTOSHA KUSHIKA WAZIFA MKUBWA KWENYE IDARA NYETI KAMA UHAMIAJI HASWA KATIKA MASWALA YA YOTE WAWEKEZAJI WANAOINGIA NA WANAOTAKA KUINGIA KWA AJILI YA UWEKEZAJI NA UTALII VITU AMBAVYO VINAIPA SERIKALI FEDHA ZA KIGENI.
hivi kwa dunia yetu hii ya sayansi na technoligi mtu mweupe na asiye na kitu kichwani ataweza kwenda na kasi mpya na nguvu mpya?.