Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Tukiachana na ya Simba asiyetulia wa kule Kizimkazi...
Tukiachana na "assist" 4 na goli 1 la mwamba Clatous Chota Chama,mh.David Kafulila amekuja na wazo kuntu haswa....
TOLL ROADS(barabara za kulipia).
Wenzetu wa Afrika kusini wameanza kuzitumia 1983 ,leo hii mh.Kafulila kamishna wa mipango na fedha (PPP) anayataka makampuni kuwekeza katika ujenzi wa barabara hizo. Tukianzia na ya kutoka Kibaha hadi Morogoro ,kongole kwake[emoji7]
TOLL ROADS huongeza uchumi kwa sababu hizi :-
1)Badala ya wananchi kuumia kwa kodi yao kukatwa kutengeneza barabara ,ujenzi huu wa barabara hizi za kulipia utatufanya tupate fedha ambayo itakwenda kutumika katika ujengaji na uboreshaji wa barabara zetu.
2)Matumizi yake hupunguza muda wa kukaa barabarani.
3)Matumizi yake hupunguza "running cost" ya magari yetu,vipuri na mafuta.
4)Matumizi yake hutuliza fikra na sonona barabarani kwa ule utulivu wake(smooth riding).
5)Matumizi yake yatatusaidia kuziachia barabara zetu kupumua na kutupunguzia mzigo wa maboresho ya hapa na pale.
Tumuunge mkono kamishna David Kafulila akitekeleza ilani ya chama dola chini ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan.
Hakika hizi ni fikra tunduizi za maendeleo makubwa kwa ajili ya taifa letu pendwa na vizazi vyake.
#Mama Tanzania milele dumu[emoji7]
#Chifu Hangaya nahodha wa jahazi letu, amen[emoji7]
Pia soma:Kafulila: Tanzania kwa mara ya kwanza tunajenga barabara za kisiasa za kulipia 150km kutoka Kibaha Pwani-Morogoro bila Fedha ya Serikali
Tukiachana na "assist" 4 na goli 1 la mwamba Clatous Chota Chama,mh.David Kafulila amekuja na wazo kuntu haswa....
TOLL ROADS(barabara za kulipia).
Wenzetu wa Afrika kusini wameanza kuzitumia 1983 ,leo hii mh.Kafulila kamishna wa mipango na fedha (PPP) anayataka makampuni kuwekeza katika ujenzi wa barabara hizo. Tukianzia na ya kutoka Kibaha hadi Morogoro ,kongole kwake[emoji7]
TOLL ROADS huongeza uchumi kwa sababu hizi :-
1)Badala ya wananchi kuumia kwa kodi yao kukatwa kutengeneza barabara ,ujenzi huu wa barabara hizi za kulipia utatufanya tupate fedha ambayo itakwenda kutumika katika ujengaji na uboreshaji wa barabara zetu.
2)Matumizi yake hupunguza muda wa kukaa barabarani.
3)Matumizi yake hupunguza "running cost" ya magari yetu,vipuri na mafuta.
4)Matumizi yake hutuliza fikra na sonona barabarani kwa ule utulivu wake(smooth riding).
5)Matumizi yake yatatusaidia kuziachia barabara zetu kupumua na kutupunguzia mzigo wa maboresho ya hapa na pale.
Tumuunge mkono kamishna David Kafulila akitekeleza ilani ya chama dola chini ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan.
Hakika hizi ni fikra tunduizi za maendeleo makubwa kwa ajili ya taifa letu pendwa na vizazi vyake.
#Mama Tanzania milele dumu[emoji7]
#Chifu Hangaya nahodha wa jahazi letu, amen[emoji7]
Pia soma:Kafulila: Tanzania kwa mara ya kwanza tunajenga barabara za kisiasa za kulipia 150km kutoka Kibaha Pwani-Morogoro bila Fedha ya Serikali