Kamishna Mutahabwa uko sahihi, lakini ujue tu hata Walimu nao wanafanyiwa ukatili

Kamishna Mutahabwa uko sahihi, lakini ujue tu hata Walimu nao wanafanyiwa ukatili

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Ni kweli ukatili upo mashuleni, wanafunzi wanapewa adhabu zisioendana na umri wao.

Nilichokuona ni kwamba walimu wengi wana psychological disoder ambayo inatokana na changamoto za kiutumishi. Matokeo yake anashusha hasira zake kwa mwanafunzi.

Utakuta mwalimu anakrupiwa na mkuu wa shule mbele ya wanafunzi au walimu wenzake pasipo sababu za msingi.

Mwalimu anatishiwa kuhamishwa kituo cha kazi bila malipo. Ananyimwa fursa za ndani na nje ya shule kwasababu tu hapatani na mkuu wake!

Huu ni ukatili ambao madhara yake hayaonekani moja kwa moja

 
Baadhya shule zinahizi tabia si zote
Ni kweli sii zote... Kwanini wawafanyie hivyo? Utakuta mtu kwasababu tu yeye ni mkuu wa shule basi muda wote ni kuwagombeza walimu. Sijui nani aliwaambia kuwa huo ndio uongozi?
 
Penal colony wa serikali waalimu ni miongoni wa kada ambazo zimejaa wajinga wengi licha kwamba wamekwenda shule

Wazee wa kusubili sensa na usimamizi wa uchaguzi
 
Penal colony wa serikali waalimu ni miongoni wa kada ambazo zimejaa wajinga wengi licha kwamba wamekwenda shule

Wazee wa kusubili sensa na usimamizi wa uchaguzi
Tatizo ni kwamba huo ujinga wamepandikiziwa tu
 
Back
Top Bottom