amakyasya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 3,480
- 914
Wakuu habari zenu!
Kamishna wa Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2022, Anna Makinda amesisitiza kutowasahau walemavu katika zoezi la sensa litakalofanyika Agosti 2022.
Chanzo taarifa ya habari ITV jana.
Kwa hiyo mtakaobahatika kuwepo kwenye orodha ya waliochaguliwa kwenye kazi hii msisahau kuwahesabu walemavu.
Mkeka wa makarani, wasimamizi, n.k kuwajia hivi karibuni. Nawatakia kila la heri katika ujenzi wa Taifa.
Kamishna wa Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2022, Anna Makinda amesisitiza kutowasahau walemavu katika zoezi la sensa litakalofanyika Agosti 2022.
Chanzo taarifa ya habari ITV jana.
Kwa hiyo mtakaobahatika kuwepo kwenye orodha ya waliochaguliwa kwenye kazi hii msisahau kuwahesabu walemavu.
Mkeka wa makarani, wasimamizi, n.k kuwajia hivi karibuni. Nawatakia kila la heri katika ujenzi wa Taifa.