Kamishna mkuu wa sensa na mkurugenzi wa takwimu kutoka NBS wamekutana na masheikh kujadili suala la waislam kutoshiriki sensa ya mwaka huu
Wakiongea na masheikh hao waliwataka waislam washiriki sensa kwani suala la kipengele cha dini halipo kwa mujibu wa katiba kwa kifungu walichokitoa, pia waliwataka waelewe kua suala la sensa maandalizi yote yamekamilika hivyo kurudia kuchapa karatasi itakua ni gharama kubwa mno.
Kwa upande wao masheikh waliwaambia kua suala la katiba haikatazi kuwatambua watu kwa makundi yao, pia wakaongeza kua hata muongozo wa umoja wa mataifa unataka sensa ifanyike kwa kufuata makundi ya watu
pia wakasema kama karatasi zimechapwa tayari zinaweza kurudiwa ili kipengele kiwekwe maaana hakuna ugumu ila kama muda umekua mfupi wanaweza kusogeza sensa mbele kukamilisha maandalizi haya kwani hata uchaguzi mara nyngi tunaona unasogezwa mbele. pia waliwaomba kama kurudia karatasi zote kuchapa ni gharama basi wanaweza kuweka appendix ya kipengele hicho , hii itakua rahisi
Kamishna na mkurugenzi wakaahidi suala hili watalipeleka mbele kwenye mamlaka za juu
Masheikh wanasema bila kipengele hicho waislam hawatahesabiwa, hiyo ndio maoni yao
Jmabo hili litaumiza kichwa kwani kundi dogo hili la waislam lisipohesabiwa itakuwa lina impact kubwa kwa watu wanaojua maana halisi ya sensa ili jambo hili lisiharibike serikali ijitahidi kukubaliana na waislam ili wananchi wote wahesabiwe
Jmabo baya la kushangaza mikoa yote tanzania bara wameitisha kikao cha masheikh na viongozi wengine wa kidini lakini hapa kwetu arusha, mkuu wa mkoa amewatishia kuwafanyia dhambi kubwa masheikh hasa wanao hamasisha watu wasihesabiwe amesema "wapelekeeni salamu akina ...,... na .... kuwa mimi nina dhamabi nyingi sana hivyo wasitake kuniongezea dhambi zingine kwa kitendo chao cha kuhamsisha watu wasikubali kuhesabiwa". chakujiuliza hapa ni dhambi gani ambayo mkuu wa mkoa huyu anataka kuifanya kwa masheikh hawa?
Sote tuko kimya ila kwa sasa tunasema HATUHESABIWI KAMA KIPENGELE CHA DINI HAKIMO, hii ndo busara yetu kwa sasa
Ila waislam wengine hawana uchungu weneyewe kila kitu poa kama wale wa shinyanga, naona hawa hata kwa familia zao hawana uchungu hata wakiona mtu anabaka wanawake zao watafurahi
Wakiongea na masheikh hao waliwataka waislam washiriki sensa kwani suala la kipengele cha dini halipo kwa mujibu wa katiba kwa kifungu walichokitoa, pia waliwataka waelewe kua suala la sensa maandalizi yote yamekamilika hivyo kurudia kuchapa karatasi itakua ni gharama kubwa mno.
Kwa upande wao masheikh waliwaambia kua suala la katiba haikatazi kuwatambua watu kwa makundi yao, pia wakaongeza kua hata muongozo wa umoja wa mataifa unataka sensa ifanyike kwa kufuata makundi ya watu
pia wakasema kama karatasi zimechapwa tayari zinaweza kurudiwa ili kipengele kiwekwe maaana hakuna ugumu ila kama muda umekua mfupi wanaweza kusogeza sensa mbele kukamilisha maandalizi haya kwani hata uchaguzi mara nyngi tunaona unasogezwa mbele. pia waliwaomba kama kurudia karatasi zote kuchapa ni gharama basi wanaweza kuweka appendix ya kipengele hicho , hii itakua rahisi
Kamishna na mkurugenzi wakaahidi suala hili watalipeleka mbele kwenye mamlaka za juu
Masheikh wanasema bila kipengele hicho waislam hawatahesabiwa, hiyo ndio maoni yao
Jmabo hili litaumiza kichwa kwani kundi dogo hili la waislam lisipohesabiwa itakuwa lina impact kubwa kwa watu wanaojua maana halisi ya sensa ili jambo hili lisiharibike serikali ijitahidi kukubaliana na waislam ili wananchi wote wahesabiwe
Jmabo baya la kushangaza mikoa yote tanzania bara wameitisha kikao cha masheikh na viongozi wengine wa kidini lakini hapa kwetu arusha, mkuu wa mkoa amewatishia kuwafanyia dhambi kubwa masheikh hasa wanao hamasisha watu wasihesabiwe amesema "wapelekeeni salamu akina ...,... na .... kuwa mimi nina dhamabi nyingi sana hivyo wasitake kuniongezea dhambi zingine kwa kitendo chao cha kuhamsisha watu wasikubali kuhesabiwa". chakujiuliza hapa ni dhambi gani ambayo mkuu wa mkoa huyu anataka kuifanya kwa masheikh hawa?
Sote tuko kimya ila kwa sasa tunasema HATUHESABIWI KAMA KIPENGELE CHA DINI HAKIMO, hii ndo busara yetu kwa sasa
Ila waislam wengine hawana uchungu weneyewe kila kitu poa kama wale wa shinyanga, naona hawa hata kwa familia zao hawana uchungu hata wakiona mtu anabaka wanawake zao watafurahi