Wanajamvi naombeni kuuliza toka mwaka huu uanze ,nasikia sana hili neno likisemwa (Kampa Kampa Kampa tena).Naombeni kuuliza mini ni nani alianzisha hili neno na lina maana na faidi ipi kwa jamii?
Wanajamvi naombeni kuuliza toka mwaka huu uanze ,nasikia sana hili neno likisemwa (Kampa Kampa Kampa tena).Naombeni kuuliza mini ni nani alianzisha hili neno na lina maana na faidi ipi kwa jamii?
Kampa- akiwa anamrudishia kipa wake Kesi alimpasia ngoma, ngoma akaandika bao la kwanza
Kampa tena- akiwa na mpira huku akikimbia kizembe kizembe Kesi alizidiwa mbio na tambwe na kupelekea tambwe kuandika bao la 2.
Hilo ndo tusi la 'kampa kampa tena'