Lord Lofa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,390
- 2,396
Wakuu kwa mfumo wa utendaji wa vyombo vya serikali ni complicated. mfano kesi ya hiki chuo.
hiki chuo hawatoi kozi za afya tu kuna kozi mbalimbali ambapo nina uhakika kwa kozi zisizo za afya
TCU itakuwa imeona hicho chuo kimekidhi vigezo shida ni hapo kwenye kozi za Afya ambazo kimsingi
ili chuo au taasisi iruhusiwe kutoa kozi hizo ni lazima wawe wamekidhi vigezo vilivyowekwa na hizi bodi
kwa maana nyengine kuna urasimu kati ya hizi bodi na vyuo vyenyewe sababu kwa kesi ya hiki chuo ni
wanafunzi wa kozi za afya tu ndo wanazungushwa wengine mambo yanaaendelea ni kweli kuna uhusika
wa TCU ila kwa hiki chuo ni mdogo tofauti na ile ya st.Joseph Arusha kule.
kilio changu mimi ni kwa wanafunzi inakuwaje mtu uchague chuo ambacho hakina usajili na wala kozi
zake hazisajiliwa na bodi husika ok lets say hukutegemea kupangwa hapo, TCU hawampeleki mtu
sehemu ambayo haipo katika machaguo yako ma 5 kama hukuiweka ya 1 kwanini uliiweka namba 5
hii haikupaswa kuwa sehemu ya machaguo yako kabisa.
Mwanafunzi Tena wa sayansi ulishindwaje kufanya kautafiti ili ujue background,rank na vitu vyote
muhimu kuhusu vyuo unavyovichagua au ilikuwa kufuata mkumbo? hivi vyuo vipo katika mitandao ya
hizi bodi vimeonyeshwa usajili wake kozi ambazo zinatolewa zipo kama zimesajiliwa au la
ok uliangalia ukakosa uliuliza ndugu na marafiki ambao ninaamini ni miongoni mwa waajiriwa wa hizi
Taasisi ok Huna ndugu huko ulishindwa hata kuuliza hapa jamiiforums ambayo ina watu wa kada zote
wanakusanyika hapa ni kweli ungekosa msaada au hata facebook?
Vijana wakitanzania tuache kuishi kwa mazoea na tuache kutafuta wachawi wa matatizoo yetu
wakati wachawi ni sisi wenyewe. Hakuna kijana wakitanzania aliyesoma na kuelimika asiejua
utendaji wa vyombo na taasisi za serikali yetu. ukitaka wawe wachawi hata kwenye sehemu ambayo
umakini na jitahada zako ungeweza kuzuia matatizo basi wao watakuroga na utarogeka kwelikweli
wao wanashida gani, wamesoma, wana kazi, wana pesa, na hata maisha ya kuishi duniani wengine
wanayo mafupi kuishi ukilinganisha na wewe they have got nothing to loose but but you have a lot
to loose kama kijana.
Hii iwe fundisho kwa wale wote wanaojipanga kujiunga na elimu ya juu kwa mwaka huu na ijayo
na hii iwe changamoto kwa ambao wapo shuleni wasome kwa bidii ili wafaulu vema wasije waka
chaguliwa kwenye vyuo na taasisi zisizokidhi mahitaji ya Mitaala na kozi wanazopenda kusomea
katika Elimu ya juu. Kijana mwenzangu mchawi wa mafanikio yako ni wewe mwenyewe.
Your fate is on your hand is up to make a right decision for your destiny
hiki chuo hawatoi kozi za afya tu kuna kozi mbalimbali ambapo nina uhakika kwa kozi zisizo za afya
TCU itakuwa imeona hicho chuo kimekidhi vigezo shida ni hapo kwenye kozi za Afya ambazo kimsingi
ili chuo au taasisi iruhusiwe kutoa kozi hizo ni lazima wawe wamekidhi vigezo vilivyowekwa na hizi bodi
kwa maana nyengine kuna urasimu kati ya hizi bodi na vyuo vyenyewe sababu kwa kesi ya hiki chuo ni
wanafunzi wa kozi za afya tu ndo wanazungushwa wengine mambo yanaaendelea ni kweli kuna uhusika
wa TCU ila kwa hiki chuo ni mdogo tofauti na ile ya st.Joseph Arusha kule.
kilio changu mimi ni kwa wanafunzi inakuwaje mtu uchague chuo ambacho hakina usajili na wala kozi
zake hazisajiliwa na bodi husika ok lets say hukutegemea kupangwa hapo, TCU hawampeleki mtu
sehemu ambayo haipo katika machaguo yako ma 5 kama hukuiweka ya 1 kwanini uliiweka namba 5
hii haikupaswa kuwa sehemu ya machaguo yako kabisa.
Mwanafunzi Tena wa sayansi ulishindwaje kufanya kautafiti ili ujue background,rank na vitu vyote
muhimu kuhusu vyuo unavyovichagua au ilikuwa kufuata mkumbo? hivi vyuo vipo katika mitandao ya
hizi bodi vimeonyeshwa usajili wake kozi ambazo zinatolewa zipo kama zimesajiliwa au la
ok uliangalia ukakosa uliuliza ndugu na marafiki ambao ninaamini ni miongoni mwa waajiriwa wa hizi
Taasisi ok Huna ndugu huko ulishindwa hata kuuliza hapa jamiiforums ambayo ina watu wa kada zote
wanakusanyika hapa ni kweli ungekosa msaada au hata facebook?
Vijana wakitanzania tuache kuishi kwa mazoea na tuache kutafuta wachawi wa matatizoo yetu
wakati wachawi ni sisi wenyewe. Hakuna kijana wakitanzania aliyesoma na kuelimika asiejua
utendaji wa vyombo na taasisi za serikali yetu. ukitaka wawe wachawi hata kwenye sehemu ambayo
umakini na jitahada zako ungeweza kuzuia matatizo basi wao watakuroga na utarogeka kwelikweli
wao wanashida gani, wamesoma, wana kazi, wana pesa, na hata maisha ya kuishi duniani wengine
wanayo mafupi kuishi ukilinganisha na wewe they have got nothing to loose but but you have a lot
to loose kama kijana.
Hii iwe fundisho kwa wale wote wanaojipanga kujiunga na elimu ya juu kwa mwaka huu na ijayo
na hii iwe changamoto kwa ambao wapo shuleni wasome kwa bidii ili wafaulu vema wasije waka
chaguliwa kwenye vyuo na taasisi zisizokidhi mahitaji ya Mitaala na kozi wanazopenda kusomea
katika Elimu ya juu. Kijana mwenzangu mchawi wa mafanikio yako ni wewe mwenyewe.
Your fate is on your hand is up to make a right decision for your destiny