Kampala yaongoza EAC kwa unafuu wa miji, ila Dar imetupwa kulee...mifoleni kutwa

Nakubaliana na wewe hapa 100%!!! Hii ripoti ni ya upuxi tena sana.
Yaani hii hii Kampala ninayojua mimi?

-boda boda nyingi zinafuatana kama siafu kila mahali, na zinavyoendeshwa kihatari.

-hawkers hawkers hawkers kila mahali. Pedestrian spaces karibu hamna!

-Mpango mji uko wapi pale? Barabara ndani ya mji ni madogo na parking spaces nadra.

-barabara ndani ya mitaa mengi ni ya matope/ vumbi (kulingana na hali ya hewa)

- mji ni mchafu

Kwa security labda wako sawa sana kushinda Nairobi.
 
Hapa hata barabara hujui direction ni ipi
Hii ni Nairobi CBD
Hawajaa hawajawai fika Kampala
 
Pale wanapotaka kutuaminisha kuwa Nairobi is the best place laki tweeter inakataa
Check out @joseph_thuha’s Tweet: Check out @NdindaTheQueen’s Tweet:
 
hatukopi kulipa madeni au mishahala. Thank you MagufulΓ― Check out @azamtvtz’s Tweet:
 
Umemaliza kila kitu kuhusu Kampala.. nime ishi kwa muda pale ila kuna sehenu bado unaeza nipoteza. Vurugu ni nyingi kila sehemu mtu anasambaza bidhaa. Hiyo report ingekua na ukweli kama Kampala ingewekwa ya mwisho kwenye miji ya E.A.
 
What would happen? Yes, that is the current estimates. Nairobi city area+ the surrounding zones (Nairobi metropolitan area).

If all those people were to decent into Nairobi you'll need double number hospitals, two and half number of schools. 50% more houses. You haven't even started to think about water and sanitation. Nairobi city it's self has 3.7 million, the metro cities might be in Nairobi catchment area, but those people in metropolitan areas are not Nairobi residents.
 
Remember watching TOP GEAR Kampala edition one day, Mhhh, Na hiyo habari ni vitu viwili tofauti, The traffic itself in Kampala is not moving.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€


 
Remember watching TOP GEAR Kampala edition one day, Mhhh, Na hiyo habari ni vitu viwili tofauti, The traffic itself in Kampala is not moving.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€


Hahahaaa.. Sasa hyo ndyo hali halisi ya Kampala. Unajua unaeza ukawa kwenye foleni Dar ila matumaini unaya ona ya kwenda. Sasa Kampala mnakua strandend kwenye junction all sides magari yame ziba. Boda boda zina pita in between cars. Hivyo vi hiace wana viita taxi
 
Umemaliza kila kitu kuhusu Kampala.. nime ishi kwa muda pale ila kuna sehenu bado unaeza nipoteza. Vurugu ni nyingi kila sehemu mtu anasambaza bidhaa. Hiyo report ingekua na ukweli kama Kampala ingewekwa ya mwisho kwenye miji ya E.A.
hi habari wakipewa waganda watashangaa
 
And why should they? All those amenities are very much available in the outskirts. They are major towns in their own rights, ie Thika, Machakos, Kajiado, Kabete, Ngong, Ongata Rongai, Mlolongo, Kiserian, Kiambu etc.

They serve as "bedroom" towns, as some of the residents commute to- fro Nairobi to work etc, but actually reside in these other places. I agree that they shouldnt be considered as Nairobians, but that is how most consider themselves.
 
naona unaongeza na barabara za nchi nyingine unaita Kenya. Toka lini mmeanza kupiga majengo yenu rangi.
Sio makosa yake, manake barabara za aina hiyo ziko nyingi Nairobi, ni vigumu kujua kiuhakika ikiwa hiyo ni picha Nairobi au la.

Aliyekosea hapo siyo yeye. Najua alikotoa picha hizo. Website hiyo ndiyo ilikosea kati ya hizo picha mbili gani ndiyo ya Southern Bypass.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…