Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
nimejikuta nacheka tu !
Ha ha ha, lzm ucheke. Prof atapigwa fimbo ya kumukichwa.nimejikuta nacheka tu !
Hili jambo sio dogoLeo CDM hamlali? 😉😀
CAG akumbuke kuvaa hemuleti ( kofia ngumu) mbele ya kamati na asimsogelee bado tunampenda.
Video inaonyesha Job Ndugai akimrarua fimbo mgombea mwenzake wa CCM hadharani. Hii kumbukizi ni muhimu sana tunapojadili vitisho dhidi ya CAG kutoka kwa spika.
Yametimia [emoji23][emoji23]Bungeni kuna ulaji ndugu ndo maana anafanya kila linalowezekana ili arudi na isitoshe atakuwa kahidiwa uspika si unajua tena mwaka huu spika lazima awe mwanaume kama ilivyotokea kwa Makinda .
POLE YAKE NDUGAI.