watu wengine mnachekesha na nadhani uchekeshaji wenu is part of your system, sasa unatakarais akae 2 star hotel ?
mambo mengine yaani ni kuongea ili mradi kuongea ! hata kama kungekuwa na scale ya 25 star hotel, still ingekuwa vizuri angekaa huko kama rais !
kama utaangalia upande mbaya tu wa JK then nadhani hautokuwa na matumaini yoyote so wewe endelea kuangalia upande wake mbaya tu, na usiniambie hana mazuri !