ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kampeni ya mwaka huu itakuwa ngumu kwa sababu vyama pinzani vitakuwa na uelekeo wa kuungana mfano ACT itaungana na Chadema, CUF itajitegemea tuna vyama vingi tunatarajia watakuwa na mfumo wa chama kimoja ACT Wazalendo watakuwa na nguvu sana kutimiza dhumuni Lao kuirudisha CCM chini.
Ni swala ambalo linawezekana au haiwezekan mimi sijui. Kwa upande wa Kusini serikali ina takiwa icheze makini sana hasa kwenye rasilimali iitwayo ufuta na korosho. Kelele imekuwa nyingi sana bei ya ufuta iliyotangazwa na bei iliyokuja kuuzwa ni tofaut usumbufu sana watu walitegemea 4000.
Uongozi unahitaji sana support ili sababu za kushindwa zisiwepo. Kwa suala la maji ukweli usemwe serikali imejitahidi na hata barabara imejitahidi kuziweka vizuri.
Tatizo la wananchi wanataka pesa iwepo mikononi mwao kitu ambacho HATUTAKI. Ila kila mkoa pangejengwa kiwanja hata kimoja kuajiri watu 5000 kama cha DANGOTE vile ili ku boost mzunguko wa biashara.
Wajibu wa wananchi pia ni kuanza miradi mfano ya ufugaji wa kuku wa nyama wa tender au hata wa kienyeji ukiwa shamba Safi Sana eneo kubwa.
Ni swala ambalo linawezekana au haiwezekan mimi sijui. Kwa upande wa Kusini serikali ina takiwa icheze makini sana hasa kwenye rasilimali iitwayo ufuta na korosho. Kelele imekuwa nyingi sana bei ya ufuta iliyotangazwa na bei iliyokuja kuuzwa ni tofaut usumbufu sana watu walitegemea 4000.
Uongozi unahitaji sana support ili sababu za kushindwa zisiwepo. Kwa suala la maji ukweli usemwe serikali imejitahidi na hata barabara imejitahidi kuziweka vizuri.
Tatizo la wananchi wanataka pesa iwepo mikononi mwao kitu ambacho HATUTAKI. Ila kila mkoa pangejengwa kiwanja hata kimoja kuajiri watu 5000 kama cha DANGOTE vile ili ku boost mzunguko wa biashara.
Wajibu wa wananchi pia ni kuanza miradi mfano ya ufugaji wa kuku wa nyama wa tender au hata wa kienyeji ukiwa shamba Safi Sana eneo kubwa.