LGE2024 Kampeni Uchaguzi Serikali za Mitaa zimeanza, una matarajio gani kwa wagombea? Je, CCM itatoboa ushindi 99.9% kama 2019?

LGE2024 Kampeni Uchaguzi Serikali za Mitaa zimeanza, una matarajio gani kwa wagombea? Je, CCM itatoboa ushindi 99.9% kama 2019?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kampeni zimeanza rasmi leo Novemba 20, 2024, mambo yatakuwa moto huko mtaani kila chama kujinadi ili wajihakikishie ushindi mnono.

Je, yapi matarajio yako kwa wagombea katika uchaguzi huu? Unadhani CCM watatoboa tena ushindi wa 99.9% kama ilivyokuwa 2019? Baada ya enguliwa nyingi kwa wapinzani, unadhani wapinzani wataweza kuwatikisa CCM?

Kupata taarifa za kila mkoa kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ingia hapa: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Tar 27 mjitokeze kupiga kura, sio kulalamika tu afu muda wa kuchagua ukifika aaaah!
 
Wakuu,

Kampeni zimeanza rasmi leo Novemba 20, 2024, mambo yatakuwa moto huko mtaani kila chama kujinadi ili wajihakikishie ushindi mnono.

Je, yapi matarajio yako kwa wagombea katika uchaguzi huu? Unadhani CCM watatoboa tena ushindi wa 99.9% kama ilivyokuwa 2019? Baada ya enguliwa nyingi kwa wapinzani, unadhani wapinzani wataweza kuwatikisa CCM?

Kupata taarifa za kila mkoa kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ingia hapa: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Tar 27 mjitokeze kupiga kura, sio kulalamika tu afu muda wa kuchagua ukifika aaaah!
Infact,
Katika maeneo mengi sana nchini CCM itashinda kwa 100%🐒
 
Wakuu,

Kampeni zimeanza rasmi leo Novemba 20, 2024, mambo yatakuwa moto huko mtaani kila chama kujinadi ili wajihakikishie ushindi mnono.

Je, yapi matarajio yako kwa wagombea katika uchaguzi huu? Unadhani CCM watatoboa tena ushindi wa 99.9% kama ilivyokuwa 2019? Baada ya enguliwa nyingi kwa wapinzani, unadhani wapinzani wataweza kuwatikisa CCM?

Kupata taarifa za kila mkoa kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ingia hapa: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Tar 27 mjitokeze kupiga kura, sio kulalamika tu afu muda wa kuchagua ukifika aaaah!
Matokeo ni maamuzi ya wapigakura na itajulikana baada ya kupiga kura. CCM wapo fare sana ni watu tu wanaichafua.
 
Back
Top Bottom