Elections 2010 Kampeni ya CCM imebaki kuwa ya BMW

Mkaa Mweupe

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2007
Posts
654
Reaction score
183
Jamani kwa hali ilipofikia sasa baada ya JK kukimbia mdahalo na kumwachia Kinana ambaye amezidi kukidhoofisha chama, mi naona ni heri Kinana na Makamba wakasepa na kumwacha JK akiendeleza kampeni ya Baba Mama na Watoto (BMW)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…