Mkaa Mweupe JF-Expert Member Joined Jun 29, 2007 Posts 654 Reaction score 183 Oct 21, 2010 #1 Jamani kwa hali ilipofikia sasa baada ya JK kukimbia mdahalo na kumwachia Kinana ambaye amezidi kukidhoofisha chama, mi naona ni heri Kinana na Makamba wakasepa na kumwacha JK akiendeleza kampeni ya Baba Mama na Watoto (BMW)
Jamani kwa hali ilipofikia sasa baada ya JK kukimbia mdahalo na kumwachia Kinana ambaye amezidi kukidhoofisha chama, mi naona ni heri Kinana na Makamba wakasepa na kumwacha JK akiendeleza kampeni ya Baba Mama na Watoto (BMW)