Mkuu Dopas,
kwa sababu hiyo, mimi hiyo blogu ya michuzi wala siifungui siku hizi, nimemshtikia anataka kutufanya wote ni malofa..
Actually, nime-delete toka kwenye favourites. To hell, kama kuna nyuuzi tutazipata tuu toka vyanzo vingine vingi ambapo ni wakweli!