Kampeni ya kuwaacha media wapambane na hali zao ianze

Kampeni ya kuwaacha media wapambane na hali zao ianze

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Ndugu wananchi !

Naamini mnaanza kuona mwenendo wa baadhi ya vyombo vya habari kuipendelea CCM.

Naomba kuwauliza lisu ameikosea Nini media house ya Tanzania?

Lisu alinusurika kuuwawa kwasababu ya kutetea watanzania na madhila mpaka ya kupokonywa ubunge ni kwasababu ya kutetea haki.

Hivi media house hamkumbuki mchango wa lisu kwenu?

Mnataka muwe kama lijua likali wa kilombero morogoro?
Alitetewa na lisu mahakamani Leo kamsaliti lisu .

Lijua likali ni yuda iskariote serikali ya CCM ilitaka kumfunga lisu akamnasua Leo hii lijua likali anamsaliti lisu.

Media house za Tanzania Leo hii mmeamua kuchagua upande mmoja sawa kabisa ni Hali yenu Kama vile wasanii walivyotudharau sisi wapenzi wao.

Hivyo basi nashauri.

1. Kwakuwa media ziko taasisi mbali mbali ambazo zinaongozwa na weledi basi sisi walaji wa kazi zao tudhamirie yafuatayo.

A. Salamu iwe fupi kwao.
B.No story nao.
C.No lifti kwao.
D.Misiba na magonjwa Yao watusamehe.
E.Magroup yao ya media left.
F.Harusi zao wachangiwe kadi na CCM.

Kiufupi kila mtu akale anakopeleka mboga Leo.

Sisi tutaishi na Shida zetu na maxence Mello wetu.

Wasanii wote wametusaliti pengine wachache wanatuunga mkono tuwaulize swali moja tu.....

Je kampeni zikiisha watatuhitaji sisi ambao hatukuiunga mkono CCM Yao iliyotupa mateso miaka yote?

Je harmonize kiba na diamond plus mwana fa et al watahitaji tununue kazi zao ? Sisi sisi wanaotusaliti Leo?

Kama tundu lisu alipopigwa risasi watanzania milioni 20 waliumia na wako na tundu lisu mpaka Leo je msimu wa siasa ukiisha watahitaji Hawa watanzania milioni 20 wanunue kazi zao au wa subscribe channel zao?

Muda umefika kila mtu ashinde mechi zake na akale anakopeleka mboga Leo.

Superbug..!
 
Jamiiforums msifute nyuzi zetu tutakosa watetezi kiufupi li ITV lilishajifia na mzee mengi wanajipa matumaini eti super brand labda superbug lakini sio brand.
 
Maisha c milele ole wake mbongo fleva aombe support ya watanzania mwakani eti tuusapot mziki wetu maaaamaaaaaeeeew mtajuta
 
Ndugu wananchi !

Naamini mnaanza kuona mwenendo wa baadhi ya vyombo vya habari kuipendelea CCM.

Naomba kuwauliza lisu ameikosea Nini media house ya Tanzania?

Lisu alinusurika kuuwawa kwasababu ya kutetea watanzania na madhila mpaka ya kupokonywa ubunge ni kwasababu ya kutetea haki.

Hivi media house hamkumbuki mchango wa lisu kwenu?

Mnataka muwe kama lijua likali wa kilombero morogoro?
Alitetewa na lisu mahakamani Leo kamsaliti lisu .

Lijua likali ni yuda iskariote serikali ya CCM ilitaka kumfunga lisu akamnasua Leo hii lijua likali anamsaliti lisu.

Media house za Tanzania Leo hii mmeamua kuchagua upande mmoja sawa kabisa ni Hali yenu Kama vile wasanii walivyotudharau sisi wapenzi wao.

Hivyo basi nashauri.

1. Kwakuwa media ziko taasisi mbali mbali ambazo zinaongozwa na weledi basi sisi walaji wa kazi zao tudhamirie yafuatayo.

A. Salamu iwe fupi kwao.
B.No story nao.
C.No lifti kwao.
D.Misiba na magonjwa Yao watusamehe.
E.Magroup yao ya media left.
F.Harusi zao wachangiwe kadi na CCM.

Kiufupi kila mtu akale anakopeleka mboga Leo.

Sisi tutaishi na Shida zetu na maxence Mello wetu.

Wasanii wote wametusaliti pengine wachache wanatuunga mkono tuwaulize swali moja tu.....

Je kampeni zikiisha watatuhitaji sisi ambao hatukuiunga mkono CCM Yao iliyotupa mateso miaka yote?

Je harmonize kiba na diamond plus mwana fa et al watahitaji tununue kazi zao ? Sisi sisi wanaotusaliti Leo?

Kama tundu lisu alipopigwa risasi watanzania milioni 20 waliumia na wako na tundu lisu mpaka Leo je msimu wa siasa ukiisha watahitaji Hawa watanzania milioni 20 wanunue kazi zao au wa subscribe channel zao?

Muda umefika kila mtu ashinde mechi zake na akale anakopeleka mboga Leo.

Superbug..!
Watanzania hakuna kampeni mliyoanzisha ikafanikiwa , nawashangaa mnamcheka Paulo Makonda ¹
 
Leo sisi tunaumia kuiondoa CCM ili mpate neema halafu nyie ndio mnakuwa wa kwanza kutusaliti
 
Tutaelewan tu subirini tushike nchi hii mifumo ya kijinga hamtaiona.
 
Wamiliki wa vyombo vya habari ni wafanyabiashara. Wapo kwa ajiri ya kulinda business empire zao zaidi kuliko kutimiza matakwa yote ya watazamaji. N kumbuka wakati wewe unasikitika Lissu haoneshwi, kuna wanaofurahi na wala sio viongozi.

Simply wamiliki wakitakiwa kuchagua kati ya kufungiwa na kupoteza baadhi ya audience watachagua the later. Siwezi susa kwa kuwa sijui wametishwa na nini.
 
Sitegemei nisikie kelele tena toka kwa wanahqbari kwamba Makonda amevamia kituo cha TV . Halafu mje kuqnza kuomba sympathy toka kwa umma.

Kwa taarifa yenu vituo vingi vitavamiwa na kutekwa na hata kufungwa huyu jamaa akipita tena. Maqna Makonda atapewa cheo cha kitaifa siyo mkoa tena
 
Sitegemei nisikie kelele tena toka kwa wanahqbari kwamba Makonda amevamia kituo cha TV . Halafu mje kuqnza kuomba sympathy toka kwa umma.

Kwa taarifa yenu vituo vingi vitavakiwa na kutwkwa na hata kufungwa huyu jamaa akipita tena. Maqna Makonda atapewa cheo cha kitaifa siyo mkoa tena
Wanasahau walikotoka
 
Ndugu wananchi !

Naamini mnaanza kuona mwenendo wa baadhi ya vyombo vya habari kuipendelea CCM.

Naomba kuwauliza lisu ameikosea Nini media house ya Tanzania?

Lisu alinusurika kuuwawa kwasababu ya kutetea watanzania na madhila mpaka ya kupokonywa ubunge ni kwasababu ya kutetea haki.

Hivi media house hamkumbuki mchango wa lisu kwenu?

Mnataka muwe kama lijua likali wa kilombero morogoro?
Alitetewa na lisu mahakamani Leo kamsaliti lisu .

Lijua likali ni yuda iskariote serikali ya CCM ilitaka kumfunga lisu akamnasua Leo hii lijua likali anamsaliti lisu.

Media house za Tanzania Leo hii mmeamua kuchagua upande mmoja sawa kabisa ni Hali yenu Kama vile wasanii walivyotudharau sisi wapenzi wao.

Hivyo basi nashauri.

1. Kwakuwa media ziko taasisi mbali mbali ambazo zinaongozwa na weledi basi sisi walaji wa kazi zao tudhamirie yafuatayo.

A. Salamu iwe fupi kwao.
B.No story nao.
C.No lifti kwao.
D.Misiba na magonjwa Yao watusamehe.
E.Magroup yao ya media left.
F.Harusi zao wachangiwe kadi na CCM.

Kiufupi kila mtu akale anakopeleka mboga Leo.

Sisi tutaishi na Shida zetu na maxence Mello wetu.

Wasanii wote wametusaliti pengine wachache wanatuunga mkono tuwaulize swali moja tu.....

Je kampeni zikiisha watatuhitaji sisi ambao hatukuiunga mkono CCM Yao iliyotupa mateso miaka yote?

Je harmonize kiba na diamond plus mwana fa et al watahitaji tununue kazi zao ? Sisi sisi wanaotusaliti Leo?

Kama tundu lisu alipopigwa risasi watanzania milioni 20 waliumia na wako na tundu lisu mpaka Leo je msimu wa siasa ukiisha watahitaji Hawa watanzania milioni 20 wanunue kazi zao au wa subscribe channel zao?

Muda umefika kila mtu ashinde mechi zake na akale anakopeleka mboga Leo.

Superbug..!
hii kampen nami naunga mkono
 
Waacheni tu, watakuja kuwa Kama ile hadithi ya Simba na kondoo, kwamba Simba alifungiwa selo karibu na kondoo, njaa ikamtesa Sana Simba hata kutaka kufa, ndipo kondoo akapata kujinasua na ile selo, Simba akambembeleza, nisaidieni tafadhari, kondoo akamwambia, apia Kama hutonila, Simba akajiapiza, kondoo akamfungulia ila kwasababu Simba alikuwa na njaa, akamlukia na kumlalua kondoo, Kama bahati, wanyama wengine wakawa wameukuta huo ugomvi, ndipo Simba akajieleza kwamba alikuwa na njaa Sasa afanyaje, baadhi ya wanyama wakamuunga mkono kondoo aliwe ili wao wasiliwe(media house), ila Kobe akatafakari, akamuukiza Simba, ulikuwa umefungwa wapi? Akaonyesha, Kobe akabisha mh, hapana haiwezekani mbona selo yenyewe ndogo, hebu jaribishia kuingia tuone, Simba akaingia, ndipo Kobe akamfungia yule Simba mwenye njaa Kali. Kobe akawageukia wale wenzie akasema, leo mtafurahi kuona kondoo analiwa, Ila jiulize, kondoo akiisha na SIMBA akapata Tena njaa Nani atafuata?
Ndivyo ilivyo kwenye hizi media, tunajua mnajilinda kwaajili ya maslahi yenu binafsi, ila munaumia MOYONI, Lisu anasema, #SASA BAASI# Kwanini ushuhudie mwenzio aliwe unaona?
Kwanini uteseke moyoni kwakuitelekeza haki?
Kwanini umudanganye Mungu wako kuwa upo nao Ali khari haupo nao? Sema
#SASA BAASI😎😎😎
 
Tukishindanaomba msije mkaifungia TBC Cha kufanye tufanye mabadiliko TBC apewe lijiwe Kama zawadi awe mmiliki na aende nayo chato iwe inaitwa Tanzania broadcasting chato
 
Masahihisho - Si kwamba Lijuakali alitaka kufungwa na ccm , Bali ALIFUNGWA KABISA JELA , Lissu amemtoa lijuakali jela UKONGA
Aiseeee kumbe ..! Leo hii anamuita lisu mgonjwa amesahau fadhila hii? Naomba marafiki wa huyo juakali mumuambie karma ya usaliti ataila mpaka kaburini. Mpaka kizazi chake cha tano kitaathiriwa na anayoyafanya Leo. Hakika lisu ni mvumilivu. Naomba mheshimiwa lisu usiache kwenda lile jimbo ka juakali ukamwage sumu za kufa mtu na ukawaeleze Wana ulivyomwokoa dogo mpumbavu then akaja akakusaliti.
 
Back
Top Bottom