Kampeni ya Samia Legal Aid imefika Mpanda mkoani Rukwa

Kampeni ya Samia Legal Aid imefika Mpanda mkoani Rukwa

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Timu ya Wataalam ya kampeni ya msaada wa kisheria wa mama Samia Legal Aid (MSLAC) ikiongozwa na Salome Mwakalonge ambaye ni Mratibu kutoka Wizara ya Katiba na Sheria imeendelea kutoa elimu ya kisheria kwa Wananchi wa Manispaa ya Mpanda.

Timu hii ya wataalamu imefanikiwa kutatua mgogoro baina ya Wananchi wa kawanzige na Gereza la Kalilankulukulu, juu ya kuingiza mifugo na kulisha mazao yaliiyopo kwenye eneo la Gereza kinyume na Sheria.

Mkuu wa Gereza la Kalilankulukulu SSP Joseph Mkalaba amesema walikamata mifugo 29 (ng'ombe) zilizo ingizwa eneo la Gereza na kulisha mazao kinyume na Sheria.

Snapinst.app_475843294_1193707132764641_4030982143501852272_n_1080.jpg
 
Hapo watakutana sana na migogoro ya ardhi na manyanyaso ya wanawake
 
Mindyou, Mpanda iko Mkoa wa KATAVI iliondoka kwenye Mkoa wa RUKWA enzi za Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwa Rais na PM wake akiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda. Kama sikosei RC wa mwisho kuhudumu mipaka ya RUKWA iliyoanzia Kona wa Wageni mpakani na Mbeya(zamani kabla ya Songwe) hadi Mto Koga Mpaka na Tabora- alikuwa Mheshimiwa Ole Njoley.
Ingia Google map uone hiyo mipaka ujifunze kitu.
 
Timu ya Wataalam ya kampeni ya msaada wa kisheria wa mama Samia Legal Aid (MSLAC) ikiongozwa na Salome Mwakalonge ambaye ni Mratibu kutoka Wizara ya Katiba na Sheria imeendelea kutoa elimu ya kisheria kwa Wananchi wa Manispaa ya Mpanda.

Timu hii ya wataalamu imefanikiwa kutatua mgogoro baina ya Wananchi wa kawanzige na Gereza la Kalilankulukulu, juu ya kuingiza mifugo na kulisha mazao yaliiyopo kwenye eneo la Gereza kinyume na Sheria.

Mkuu wa Gereza la Kalilankulukulu SSP Joseph Mkalaba amesema walikamata mifugo 29 (ng'ombe) zilizo ingizwa eneo la Gereza na kulisha mazao kinyume na Sheria.

Hakuna lolote ni ushenzi tu ,Rais gani hasikilizi wananchi hata kwenye mikutano ya hadhara anaonyesha dharau waziwazi kwa kutowasikiliza watanzania,muda wote SAMIA amekataa kuwasikiliza watu hasa akina mama wenzake,ila kwa sababu kampeni zitaanza atajifanya ndio anajua kusikiliza watanzania kwa sababu ni mnafiki mzuri na vijitu vya Tanzania vinasahau mapema kwa sababu havina Akili.
 
Back
Top Bottom