MicJay
Member
- Apr 19, 2014
- 75
- 29
Baada ya Rais wetu kwenda ng'ambo kuchekiwa afya na kukutwa na tatizo la Tezi dume na akafanyiwa upasuaji.
Taarifa ya habar jana,ambayo ilitolewa na waziri asie na wizara maalum kwamba mwanzoni mwa mwaka 2015 kutakuwa na kampeni za kupima Tezi Dume kwa wanaume wote na watakaokutwa na tatizo watatibiwa hapahapa nchini na Hiyo kampeni itazinduliwa na wazir huyo asie na wizara maalum.
Kampeni hii wanasema itawahusu zaidi wanaume wenye umri kuanzia miaka 50 na kuendelea.Wanaume wenzangu mi nafikiri kabla ya kampeni hizo tungejiuliza ugonjwa huo unasababishwa na nini, tukijua kisababishi ndo tunawezajua kwamba kunauwezekano wananchi wa kawaida wakawa nao.
Ila tofauti na hapo, unaweza ukaambiwa una Tezi Dume wakufanyie upasuaji baada ya hapo we kuzaa ikawa basi tena.Tujiulize kwanza ndugu zetu!
Taarifa ya habar jana,ambayo ilitolewa na waziri asie na wizara maalum kwamba mwanzoni mwa mwaka 2015 kutakuwa na kampeni za kupima Tezi Dume kwa wanaume wote na watakaokutwa na tatizo watatibiwa hapahapa nchini na Hiyo kampeni itazinduliwa na wazir huyo asie na wizara maalum.
Kampeni hii wanasema itawahusu zaidi wanaume wenye umri kuanzia miaka 50 na kuendelea.Wanaume wenzangu mi nafikiri kabla ya kampeni hizo tungejiuliza ugonjwa huo unasababishwa na nini, tukijua kisababishi ndo tunawezajua kwamba kunauwezekano wananchi wa kawaida wakawa nao.
Ila tofauti na hapo, unaweza ukaambiwa una Tezi Dume wakufanyie upasuaji baada ya hapo we kuzaa ikawa basi tena.Tujiulize kwanza ndugu zetu!